Leo mahakama kuu imethibitisha kuwa m/kit wa BMK anakiuka sheria, sasa kwa uelewa wangu mdogo, kinachokwenda kuwasilishwa kesho na mh. Andrew Chenge ni BATILI ,wenye uelewa na umakini mkubwa zaidi yangu naomba mawazo yenu
sitta ana laana za wanachi yule ndo yupo kama amechangikiwaSamwel Sitta ni mpumbavu!!
Katika Tanzania hakuna jitu katili kama Samwel Sitta!!!
Nadhani hata nyoka ana nafuu!!!
Leo mahakama kuu imethibitisha kuwa m/kit wa BMK anakiuka sheria, sasa kwa uelewa wangu mdogo, kinachokwenda kuwasilishwa kesho na mh. Andrew Chenge ni BATILI ,wenye uelewa na umakini mkubwa zaidi yangu naomba mawazo yenu[/QUOTE
sitta ni janga la kitaifa.mwisho wao unahesabika
Mahakama haijasema wala kuthibitisha ila imeambiwa na mawakili wa mshitaki wakati anaieleza mahakama hoja zake za kufungua kesi ya kupinga BMLK. Ieleweke kwamba kesi bado inasikilizwa na uamuzi bado kutolewa. Bila shaka hukuelewa ulichosikiliza ITV.
Ndo maana nikaomba wenye uelewa kuliko mm mnisaidie, kwa hiyo tiririka kaka, nadhan nimetoa uwanja mapema, ASANTE
Yupo sahihi kivipi?
Watu wengine wanapenda sana kupotosha mambo mkuu, wapotezee tu!Mahakama haijasema wala kuthibitisha ila imeambiwa na mawakili wa mshitaki wakati anaieleza mahakama hoja zake za kufungua kesi ya kupinga BMLK. Ieleweke kwamba kesi bado inasikilizwa na uamuzi bado kutolewa. Bila shaka hukuelewa ulichosikiliza ITV.
Hasikuchanganye uko sahihi labda aiweke hoja yake kisheria.
Mahakama haijasema wala kuthibitisha ila imeambiwa na mawakili wa mshitaki wakati anaieleza mahakama hoja zake za kufungua kesi ya kupinga BMLK. Ieleweke kwamba kesi bado inasikilizwa na uamuzi bado kutolewa. Bila shaka hukuelewa ulichosikiliza ITV.