Sitta alianza na mguu wa kushoto!

Sitta alianza na mguu wa kushoto!

Goodrich

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2012
Posts
2,091
Reaction score
1,179
Ni wazi kuwa jambo jema huonekana pale linapoanza.

Samuel Sitta alianza uspika wake kwa kuvunja kanuni za msingi baada kuruhusu Warioba kuhutubia BMK kabla halijazinduliwa.

Hivyo kisheria ni wazi kuwa Warioba hajawahi kulihutubia BMK !!!

...baada uchakachuaji huo na ule uchakachuaji wa kanuni wkt wa kuunda kamati za BMK ni dhahiri kuwa Sitta alianza na mguu wa kushoto !!!
 
Tatizo uchakachuzi uko damuni hawa jamaa. Kila kitu wanataka wa-twist into their favour. Ngoja achemshe na ndoto zake za urais ziishie hapo.
 
Na alaaniwe kwa kuhujumu watu milioni 45 na kutetea mafisadi na wahujumu taifa wasiofika mia tano
 
Tatizo uchakachuzi uko damuni hawa jamaa. Kila kitu wanataka wa-twist into their favour. Ngoja achemshe na ndoto zake za urais ziishie hapo.

...Halafu eti anataka Urais !!??

Ameongoza wenzake wameacha kujadili rasimu ya Warioba na sasa wanajadili rasimu ya ccm.

...Sisi tunataka Rais atakayeweka juu maslahi ya Taifa badala ya maslahi ya chama chake !!!
 
Amemalizwa kiukajanja tu kwamba ameshindwa kusimamia upatikanaji wa katiba,chezea CCM wewe! Mbio za Urais quitione!
Membe nae nje kutetea Maji yaende Misri.
Chuja mwingine!
 
Mungu amewalaani kwa ulaghai wanaolifanyia taifa hili, alishindwa kusimamia haki juu ya nini kinachotakiwa kufanywa na wajumbe wa bunge la katiba, yeye akaruhusu uvunjwaji wa wazi kabisa wa kanuni kwa shinikizo la ccm wenzie, akaruhusu matusi, kejeri na zarau kwa wajumbe wa UKAWA, akaruhusu Warioba atukanwe kama mtoto, rasimu ya katiba kudharauliwa hadharani, akaruhusu wanaccm waingize vitu ambavyo havipo katika rasimu, harafu leo hii anajifanya kuunda kamati ya maridhiano, tena anawaweka walewale waliokuwa wakitoa lugha chafu dhidi ya wenzao wanaotetea maoni ya wananchi yaheshimiwe, mtu kama Hamadi Rashidi, Peter Kugi Mzirai, mama kilango, watu hawa watasuruhisha nini, Sita laana i juu yake, aache kucheza na akili za watanzania katika mambo nyeti, ambayo ni roho ya nchi, uzarendo wanaohubili uko wapi.
 
tutaona mengi nakusikia mengi,hawezikani watu wakae zaidi yamwezi wanajadiri eti kura ya siri na uwazi,wanatumia hela zakodi za wananchi,bule baadaye bajeti inamwumiza mtanzania wakawaida hasa kwenye vinywaji eti kwa sababu nistarehe,mbinu hiyo niukajanja kajanja tuu tusubilie maumivu tu, kwa mwananchi wakawaida.
 
Mungu amewalaani kwa ulaghai wanaolifanyia taifa hili, alishindwa kusimamia haki juu ya nini kinachotakiwa kufanywa na wajumbe wa bunge la katiba, yeye akaruhusu uvunjwaji wa wazi kabisa wa kanuni kwa shinikizo la ccm wenzie, akaruhusu matusi, kejeri na zarau kwa wajumbe wa UKAWA, akaruhusu Warioba atukanwe kama mtoto, rasimu ya katiba kudharauliwa hadharani, akaruhusu wanaccm waingize vitu ambavyo havipo katika rasimu, harafu leo hii anajifanya kuunda kamati ya maridhiano, tena anawaweka walewale waliokuwa wakitoa lugha chafu dhidi ya wenzao wanaotetea maoni ya wananchi yaheshimiwe, mtu kama Hamadi Rashidi, Peter Kugi Mzirai, mama kilango, watu hawa watasuruhisha nini, Sita laana i juu yake, aache kucheza na akili za watanzania katika mambo nyeti, ambayo ni roho ya nchi, uzarendo wanaohubili uko wapi.

Huyu awahi kutafuta shamba la kulima baada ya kuukosa Urais na Ubunge pia, pole zake. Bora kutawaliwa na jeshi kuliko mtu mnafiki na mwenye kujikweza.
 
Wahujumu Bunge la Katiba
1. Samweli Sitta
2. Jakaya Kikwete
3.Fredirck Warema
4. Ole Sendeka
5. S. Wassira
Unaweza endelea kuwataja wengine......
 
Mungu amewalaani kwa ulaghai wanaolifanyia taifa hili, alishindwa kusimamia haki juu ya nini kinachotakiwa kufanywa na wajumbe wa bunge la katiba, yeye akaruhusu uvunjwaji wa wazi kabisa wa kanuni kwa shinikizo la ccm wenzie, akaruhusu matusi, kejeri na zarau kwa wajumbe wa UKAWA, akaruhusu Warioba atukanwe kama mtoto, rasimu ya katiba kudharauliwa hadharani, akaruhusu wanaccm waingize vitu ambavyo havipo katika rasimu, harafu leo hii anajifanya kuunda kamati ya maridhiano, tena anawaweka walewale waliokuwa wakitoa lugha chafu dhidi ya wenzao wanaotetea maoni ya wananchi yaheshimiwe, mtu kama Hamadi Rashidi, Peter Kugi Mzirai, mama kilango, watu hawa watasuruhisha nini, Sita laana i juu yake, aache kucheza na akili za watanzania katika mambo nyeti, ambayo ni roho ya nchi, uzarendo wanaohubili uko wapi.

Watanzania tushukuru Mwenye Enzi ametupa fursa ya kuwajua wanaolilia urais !
 
Amemalizwa kiukajanja tu kwamba ameshindwa kusimamia upatikanaji wa katiba,chezea CCM wewe! Mbio za Urais quitione!
Membe nae nje kutetea Maji yaende Misri.
Chuja mwingine!

Lowassa nae mgonjwa...chuja mwingine
 
Sheria ya mabadiliko ya katiba imekiukwa katika maeneo mengi

1. Mwenyekiti wa Tume (Warioba) hajawahi kulihutubia BMK - baada ya Rais kuzindua BMK kilichofuata ni mipasho.

2. BMK linajadili rasimu ya ccm badala ya kujadili rasimu ya Tume - Je, kundi lingine likiandaa rasimu yake itakuwaje ?

3. BMK limetawaliwa na maslahi ya kisiasa badala ya maslahi ya kitaifa.

4. ... n.k
 
Sheria ya mabadiliko ya katiba imekiukwa katika maeneo mengi

1. Mwenyekiti wa Tume (Warioba) hajawahi kulihutubia BMK - baada ya Rais kuzindua BMK kilichofuata ni mipasho.

2. BMK linajadili rasimu ya ccm badala ya kujadili rasimu ya Tume - Je, kundi lingine likiandaa rasimu yake itakuwaje ?

3. BMK limetawaliwa na maslahi ya kisiasa badala ya maslahi ya kitaifa.

4. ... n.k

4. Lugha za matusi na ubaguzi kwenye BMK
 
Back
Top Bottom