Sitashangaa wanawake wakifika huku


Kama wa kukuelewa atakuwa amekuelewa mkuu
 
yaani huoni kabisa hayo mambo yana uhusiano wa moja kwa moja na sisi?? tukiwaacha hivyo wake wa kuoa tutawatoa wapi?

Wapo kibao wanaokubali kutokufanya hayo mtuache wenye maisha yetu lol
 
Nyie hampend lakin wapo wanaopenda na kwao nisawa tu... mbona hao hao ni wake... girlfriends.... watoto....vimada...nyumba ndogo.....wadogo.....mama......dada... wa hao hao wanaume
 
Hapo unakuta m2 kaweka makucha utafikiri ni VAMPIRE anatafuta damu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…