Sitasahau Special Thread

sitamsahau mwl kawa kukukaririsha table s/msingi na mwl msuya viboko vyake kileo iyo mwanga pia mwalimu mdeme,makata,mgonja,J4 Kifaru sec ilikua ni jeshi si shule
 

Nimecheka mpaka mbavu zinaumaaaaa ujue
 

Daaaaa tokea nimejiunga JF wewe ndo umenivunja mbavu pia nimekumbuka stress za pepa mpaka nishawahi kujipiga bao .huku naambiwa bado dk 15 afu maswali mengi na ninataweza paper ya chemistry f3 kwenda f4 mana niliupania nipate A .
Nilijibu kwa kuremba nikashangaa utamu unanianza
 
nlipokuwa form 3 cku ambayo nlijificha chini ya dawat ndan ya sket ya class mate wangu siku nliyokuwa natafutwa kama osama na ticha m1 katili, baada ya hapo mtoto akawa dem wangu bila hata kusema neno

Mkuu umenivunja sana barikiwa sana pia una mbinu za kikomamdoo sema hujijui
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…