Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,813
- 10,834
Amen, Mungu anatenda lakini, lakini majibu yanachukua mda kwa wazoefu ili Ni kweli au.Mm sita sahau Siku Mama yangu Mkubwa Alipo mu ua Baba yangu mzazi kisa Mali.. Alafu nika msika kwenye simu akiwa anaongea na mganga jinsi alivyo fanya madawa na mm nikapuuzia sikuelewa ni madawa gani.. ila nilisikia akisema kwahivyo anakufa baada ya siku ngap sauti ika mjibu siku ya 7.. basi mm nikaenda zangu boarding school kesho yake..baada ya siku 5 ukichanganya ile siku niliyo sikia na ile siku ya kisafiri na izo siku tano nikoa shule .. ghafla nikaja kuchukuliwa baba yangu kafariki.. mpaka leo sijajua nifanye nini ila najua mengi maana ili bidi nitafute mambo mengi kujua yote ila mpaka sasa Mama mkubwa kabadilisha hatiya nyumba kutoka jina la baba mpka lake .. na pia kaumuua kaka tangu mkubwa wakwanza.. na ndugu zangu wengine wakubwa zangu wakiume.. wamefanya kama machizi.
mm ndio nimekimbia nyumbani mpaka leo miaka 11 sijafika kwetu nasali tu.. ila naonyeshwa kwenye ndoto matukio mengi ya kifamilia kila nikipiga goti kwa mungu mchana usiku najibiwa kwa kuonyeshwa kinacho endelea nyumbani kwetu na kukikucha nikipiga simu kwa ndugu naambiwa kile kile nilicho oteshwa ila naogopa kuwambia nilioteshwa..
Sita sahau.. Ila nimepanga nikasomee Ujasusi Nchi za nje jinsi ya Kuuwa kitaalamu nije kuwa Jasusi nisiye na huruma maana Serikali haitambui uchawi ila mm nimeshughudia na bado naonyeshwa mengi .. Sita Acha ndugu zangu waangamizwe.. Ipo siku..
Pray for me guys!
Sent using Jamii Forums mobile app