Sitasahau: Niliwapa mimba michepuko wawili ndani ya miezi miwili wakati huo nina mchumba mwenye mtoto

Mm sita sahau Siku Mama yangu Mkubwa Alipo mu ua Baba yangu mzazi kisa Mali.. Alafu nika msika kwenye simu akiwa anaongea na mganga jinsi alivyo fanya madawa na mm nikapuuzia sikuelewa ni madawa gani.. ila nilisikia akisema kwahivyo anakufa baada ya siku ngap sauti ika mjibu siku ya 7.. basi mm nikaenda zangu boarding school kesho yake..baada ya siku 5 ukichanganya ile siku niliyo sikia na ile siku ya kisafiri na izo siku tano nikoa shule .. ghafla nikaja kuchukuliwa baba yangu kafariki.. mpaka leo sijajua nifanye nini ila najua mengi maana ili bidi nitafute mambo mengi kujua yote ila mpaka sasa Mama mkubwa kabadilisha hatiya nyumba kutoka jina la baba mpka lake .. na pia kaumuua kaka tangu mkubwa wakwanza.. na ndugu zangu wengine wakubwa zangu wakiume.. wamefanya kama machizi.

mm ndio nimekimbia nyumbani mpaka leo miaka 11 sijafika kwetu nasali tu.. ila naonyeshwa kwenye ndoto matukio mengi ya kifamilia kila nikipiga goti kwa mungu mchana usiku najibiwa kwa kuonyeshwa kinacho endelea nyumbani kwetu na kukikucha nikipiga simu kwa ndugu naambiwa kile kile nilicho oteshwa ila naogopa kuwambia nilioteshwa..


Sita sahau.. Ila nimepanga nikasomee Ujasusi Nchi za nje jinsi ya Kuuwa kitaalamu nije kuwa Jasusi nisiye na huruma maana Serikali haitambui uchawi ila mm nimeshughudia na bado naonyeshwa mengi .. Sita Acha ndugu zangu waangamizwe.. Ipo siku..

Pray for me guys!
Amen, Mungu anatenda lakini, lakini majibu yanachukua mda kwa wazoefu ili Ni kweli au.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
....Nilifanikiwa kumtafuna na nikamshikisha pesa akameze pi2 kama tahadhali , ebwanaeeee.....

Unaonane ukisema Magufuli mi5 tena
 
Nimesali sana na kushtaki ila.Mungu kaendela kumwacha afanye atakavyo.. sijui kama hayo maandiko yanafanya kazi kwa kizazi hiki... maana yangekuwa yanafanya kazi basi tangu nianze kumpigia Mungu magoti miaka 6 iliyopita yange shafanya kazi badala yake mateso ndio yameendelea kwetu..
Hapa unahitaji ujasusi kweli, unaua bila kuacha footage

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kashikili Ndugu zangu wanaishi kama misikule iliyo hai.. na kwangu kafunga kila kitu sifanikiwi Nina degree ila ajira kwa miaka kafunga nikienda kanisani naambiwa nisali kuna mwanamke kafunga nisipate kazi maisha na kweli kwa miaka 9 siajiriki na nina GPA Nzuri na wenzangu wame oa wana watoto mm nazeekea home.. Anamtupua Mama maradhi naonyeshwa nasali mama anapona .. mara ndugu wana wehuka kama vichaa wakat wamezaliwa na walikuwa wazima mpaka miaka 30 ghafla wana kuwa wehu... Ukiniambia ni muache sielewi uantaka ndugu waishe??
Uyo mchawi mshughulikie hata kwa kwenda kwa mtaalamu, ili asiwe anawaona kwenye rada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi mkate na blueband.
Huwa inatokea ase
Nna rafiki yangu ana mchumba wake mkoani ana mtoto mmoja
Yupo mkoa mwingine kikazi na huku alipo aliwapa madem wawili mimba na mmoja wapo akawa na mimba ya mapacha
Alichanganyikiwa akili ilikuwa haitulii
Bahati mbaya hao mapacha hawakuwa ridhiki,mimba iliharibika baada ya miez kadhaa
Sasa hivi amebaki analea hiyo mimba moja
 
Kashikili Ndugu zangu wanaishi kama misikule iliyo hai.. na kwangu kafunga kila kitu sifanikiwi Nina degree ila ajira kwa miaka kafunga nikienda kanisani naambiwa nisali kuna mwanamke kafunga nisipate kazi maisha na kweli kwa miaka 9 siajiriki na nina GPA Nzuri na wenzangu wame oa wana watoto mm nazeekea home.. Anamtupua Mama maradhi naonyeshwa nasali mama anapona .. mara ndugu wana wehuka kama vichaa wakat wamezaliwa na walikuwa wazima mpaka miaka 30 ghafla wana kuwa wehu... Ukiniambia ni muache sielewi uantaka ndugu waishe??

Sasa mkuu kama Mungu anakuonyesha yote hayo,unataka nini tena. Kumbuka hukumu ni yake na kwa jinsi impendezavyo. Mkuu tulia,wewe endelea kuomba,na usichoke kutafuta shughuli ya kufanya na mwenza wakuoa.
 
Dah Bora wew hayo yalipta mm sasa nna balaa Kama hlo sahv wote wawl n wajawazto na wote wanamatarajio ya kua ntawaoa nawakat teyar na mchumba wangu Niko katika kpnd kgum
Wakuu kwanza kabisa msinishambulie, namimi ni binadamu, ingawa yalishapita na nimeyasahau,

Jamani uzinzi ni mbaya sana, Nilikuwa na tabia ya kuwapima ngoma mademu zangu nikiona wako safi naanza kupiga kavu,

Dah!!!! Kimasihara mchepuko wa kwanza akanasa mimba nilipanic kidogo then nikaona hakuna tatizo azae tu kwani shida nini, wakati huo nina mchumba yupo mkoani ana mtoto wangu mmoja wa kike,

Basi maisha yakaendelea, nikasahau baadae kama mwezi hivi nilikutana na binti mbichi maeneo ya kazini kwetu (kibarua cha muda mfupi), nilivomtizama nikavutiwa na chuchu zake ndogo na miguu yake iliyojazia, basi nikapiga hesabu nikasema acha nipite nae hili futa siwezi liacha hivi hivi hapo lengo lilikuwa ni kumtafuna tu ( it was a very big mistake),

Nilifanikiwa kumtafuna na nikamshikisha pesa akameze pi2 kama tahadhali , ebwanaeeee!!! Baada ya wiki mbili ananiambia anajisikia kichefu chefu anaramba sana ndimu ila hakiishi pia maziwa yame vimba hajielewi,
Ikabidi apime mimba kitu kikaja positive,

Yaani nilijiona bonge la mpumbavu, nilijuta sana na nilikonda sana utadhani mimba nimebeba mimi, nikaanza kufikilia kipato changu ni cha hovyo sina mbele wala nyuma, nikimfikilia mchumba wangu wa home na mtoto wangu wanavyoishi kwa tabu kichwa kinawaka moto mpaka kinataka kuungua,

Nilikonda kwa mawazo, mimba zikawa zinakua kwa kasi baadae michepuko wote wawili walianza clinic,

Pesa za viitenge, matunda, plus kuambiwa nikajitambulishe kwao kumbuka hapo hawajuani, yaani nilikonda nilinyonyoka haswa kama kuku wa kishingo, nilichakaa nikapauka haswa, kumbuka hapo napigiwa simu na mchumba wangu nitume pesa za matumizi ya mtoto na ninatuma kama kawaida kwa kukopa kopa,

Mimba zilikuwa mpaka zikafikisha miezi 6 na week 2 ya mwingine miezi mitano kama sikosei,

Lilitokea tukio la ajabu sana, wote walishikwa uchungu kwa nyakati tofauti walipoenda hospitali mmoja akaambiwa mtoto hachezi, mwingine anauvimbe na mimba imeharibika kitambo tu.

Walisafishwa wakapona.

Cha ajabu eti mimba kuharibika roho ikaanza kuniuma nimepoteza watoto nikajiona mtu nisiye na bahati wakati hata sijui watoto ningewatunza vipi,

Basi yalipita nikasahau na nikaendelea kuwasiliana nao ila nilipata funzo kubwa sana hakika nilijifunza kwa vitendo.

Je unajambo lolote ambalo huwezi kulisahau? Langu ndio hilo, weka nawewe lakwako.
 
Mm sita sahau Siku Mama yangu Mkubwa Alipo mu ua Baba yangu mzazi kisa Mali.. Alafu nika msika kwenye simu akiwa anaongea na mganga jinsi alivyo fanya madawa na mm nikapuuzia sikuelewa ni madawa gani.. ila nilisikia akisema kwahivyo anakufa baada ya siku ngap sauti ika mjibu siku ya 7.. basi mm nikaenda zangu boarding school kesho yake..baada ya siku 5 ukichanganya ile siku niliyo sikia na ile siku ya kisafiri na izo siku tano nikoa shule .. ghafla nikaja kuchukuliwa baba yangu kafariki.. mpaka leo sijajua nifanye nini ila najua mengi maana ili bidi nitafute mambo mengi kujua yote ila mpaka sasa Mama mkubwa kabadilisha hatiya nyumba kutoka jina la baba mpka lake .. na pia kaumuua kaka tangu mkubwa wakwanza.. na ndugu zangu wengine wakubwa zangu wakiume.. wamefanya kama machizi.

mm ndio nimekimbia nyumbani mpaka leo miaka 11 sijafika kwetu nasali tu.. ila naonyeshwa kwenye ndoto matukio mengi ya kifamilia kila nikipiga goti kwa mungu mchana usiku najibiwa kwa kuonyeshwa kinacho endelea nyumbani kwetu na kukikucha nikipiga simu kwa ndugu naambiwa kile kile nilicho oteshwa ila naogopa kuwambia nilioteshwa..


Sita sahau.. Ila nimepanga nikasomee Ujasusi Nchi za nje jinsi ya Kuuwa kitaalamu nije kuwa Jasusi nisiye na huruma maana Serikali haitambui uchawi ila mm nimeshughudia na bado naonyeshwa mengi .. Sita Acha ndugu zangu waangamizwe.. Ipo siku..

Pray for me guys!
Pole Sana mkuu
 
Back
Top Bottom