Sitamani tena kuoa

Nenda kanisani katubu umrudie muumba wako. Ukiwa karibu na mtumishi wa kiroho kwa ajili ya kukuongoza utasimama na utasahau haho yote.
Wapo wengi walisema hawataoa lakini mungu anawafungulia milango na wanaoa. Kataa kutawaliwa na shetani na usimpe utukufu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…