Bingwaman
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 549
- 288
Hapa tunaambiwa jamaa anaishi Mtwara lakini kuna thread nyingine iliyopishana dakika chache tu na hii anatueleza yuko Tandale kwa Tumbo, ambako hafikirii kuhama baada ya kunogewa na mijimama ya huko. Inaonyesha JF huwezi kupata views za kutosha bila kuweka fiction.