Sitaki mchumba, nimeumia sana na mapenzi

Sitaki mchumba, nimeumia sana na mapenzi

Ninachoona kwako ni kuwa umekata tamaa.... just jioe muda fanya mambo yako. Basi mambo yatakuwa shwari
 
Nimeteseka sana na mapenzi sitaki tena kuumia mimi nimekuja hapa kuwaambia sitaki tena mpenzi.
So unataka mume... unawapatia humu nini?? Je na mtaani kwanu umewaambia??
 
Nimeteseka sana na mapenzi sitaki tena kuumia mimi nimekuja hapa kuwaambia sitaki tena mpenzi.
Naomba tuwasiliane kama Uko serious. Sitakutesa. Utainjoy sana. Nahitaji upendo to. Pia sipendi mtu wa kunitegemea kwa 100%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom