Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kuna binadamu wengine huwa wanadharau na kiburi sana. Mwaka 2013 nikiwa Dodoma CRDB kwenye foleni ,akaja Mh Benard Membe (ambaye kwa wakati huo alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa) na ghafla bila hata salamu, akasogea mbele kabisa ili achukue hela haraka.
Sisi wa mbele kabisa,hatukuweza kunotice kuwa yeye ni nani maana alikuwa kavaa kofia aina ya 'pama' na pia hakuwa na ulinzi wowote. Na pia kama nilivyosema,hata salamu hamna.Kavukavu tu.
Mzee wa mbele yangu alihoji "We nani tena hufuati utaratibu,hautuoni sisi tuliopanga mstari?". Watu wengine nao wakadakia "Utaratibu gani huo?"
"Hamjui kwamba mm n Waziri?Nitaita askari sasahivi hapa". Alifoka Membe.
Kwakuwa pale benki palikuwa na askari, ubabe ukatumika tu akachukua hela na kuwahi huko alikokuwa anakwenda.
Mawaziri kuweni wavumilivu na tuheshimiane tu maana you never know. Leo hii Membe yuko wapi?
Siyo kila raia ana interest ya kukariri political figures
Alfajiri njema
Sisi wa mbele kabisa,hatukuweza kunotice kuwa yeye ni nani maana alikuwa kavaa kofia aina ya 'pama' na pia hakuwa na ulinzi wowote. Na pia kama nilivyosema,hata salamu hamna.Kavukavu tu.
Mzee wa mbele yangu alihoji "We nani tena hufuati utaratibu,hautuoni sisi tuliopanga mstari?". Watu wengine nao wakadakia "Utaratibu gani huo?"
"Hamjui kwamba mm n Waziri?Nitaita askari sasahivi hapa". Alifoka Membe.
Kwakuwa pale benki palikuwa na askari, ubabe ukatumika tu akachukua hela na kuwahi huko alikokuwa anakwenda.
Mawaziri kuweni wavumilivu na tuheshimiane tu maana you never know. Leo hii Membe yuko wapi?
Siyo kila raia ana interest ya kukariri political figures
Alfajiri njema