Kabla hata magharibi haijatwama utanikuta tayari nshapanga meza, huku Eliza akitoa huduma ya "naturaly Ordinary"Nyie wanaume wenzangu, leo hatuna sababu ya kukutana kuuzungumzia uanaume wetu? Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Nyie wanaume wenzangu, leo hatuna sababu ya kukutana kuuzungumzia uanaume wetu? Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Tena watakua sio wanaume hao!!
Gaijin usinifanyie hivyo bwana....lolz...mdogo mdogo
Hela imetengenezwa kwa ajili ya MANUNUZI......... kweli au si kweli?
Mzazi mbona jana ulikuwa unatetea sana leo vp au mambo ya CCM B nini?
Sasa Eiyer ndo umpe demu 10m.?
Wenzio mbona tunamega kwa bei chee tu na mama anaridhika. Kesho anakutafuta anakukopesha kabisa penzi.
Wape wape vidonge vyao.Kisha mwanamme alivyokuwa kiumbe ajabu, kwa kuwa kitu chake ndo akitoe meno! Ndo maana hatuendelei Waafrika. Tunza chako ili uache kutamani cha wenzako
hahahaha usiniambie hawa wa tip top kesha kuachia kitu aisee!Mpwa nipo kwenye dozi kali nisije nikaivuluga
Mwanaume anayekumiliki hajambo?
Ngoja nicheki kwenye records za TRA...Risiti ya manunuzi iwapi?
Ewaaaaaaaaaa sisi ndio wanaume bana.......... weeeuuuweeeeee!Kabla hata magharibi haijatwama utanikuta tayari nshapanga meza, huku Eliza akitoa huduma ya "naturaly Ordinary"
Lazima tujadili na kuuzungumzia uanamuume wetu!
Mambo ya kuitwa gume gume au marioo hapana kabisa!
Risiti ya manunuzi iwapi?
Wasio wajibika wapo upande wa Bishanga kule.
WW uko upande gani?
Changanya na za kwako... Hapo nshakusamehe...
ww unawajibika ipasavyo?Wasio wajibika wapo upande wa Bishanga kule