KERO Sisi Ajira mpya Morogoro DC mpaka leo hatujalipwa hela za kujikimu

KERO Sisi Ajira mpya Morogoro DC mpaka leo hatujalipwa hela za kujikimu

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Sisi Ajira mpya Morogoro DC mpaka leo hatujalipwa hela za kujikimu na tunamaliza mwaka kazini pamoja na maelekezo ya waziri TAMISEMI, bado maafisa Utumishi wamegoma.

Naomba mtupazie sauti ifike Serikali Kuu wajue Watumishi tunalia huku.
 
Sisi Ajira mpya Morogoro DC mpaka leo hatujalipwa hela za kujikimu na tunamaliza mwaka kazini pamoja na maelekezo ya waziri TAMISEMI, bado maafisa Utumishi wamegoma.

Naomba mtupazie sauti ifike Serikali Kuu wajue Watumishi tunalia huku.
Bint vuta subra mtalipwa tu
 
Tamisemi ni 'laana'. Ni vile tu wengi tumetokea familia duni. Ila Tamisenga sio sehemu ya kuajiriwa kabisa.
Majungu, fitna, uzandiki, husda na ulozi vimejaa mno huko.
 
Back
Top Bottom