PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,059
- 1,133
ndo manake mzee MAGU alikuwa anafanya atakalo bila kujali mahakama,ata ROSTAM alishalalamikia hiliSIRI ZAVUJA MIKOPO CHECHEFU
- Jaji aliyehukumu kihuni kesi za wafanyabiashara waliokataa kulipa mkopo waliokopa kisha kukimbilia mahakamani na kuwapa ushindi ahamishwa mahakama
-atolewa mahakama kuu divisheni ya biashara na kupelekwa mkoa mmoja wa nyanda za juu kusini
-Wafanyabiashara waliojinufaisha na kufilisi mabenki kutumia mahakama wapandishwa kizimbani mahakama ya rufaa
-Mmoja anayetamba kuwaweka majaji mfukoni mwake keshi yake inasomwa leo mahakama ya rufaa mbele ya majaji watatu
-Azunguka usiku kucha jana na juzi akitafuta namna ya kumuhonga walau jaji mmoja ili aharibu kesi apate ushindi kama alioupata kwa jaji aliyetimuliwa
-Wafanyabiashara wadogo wanaopata shida kupata mikopo kutokana na uhuni unaofanywa na wafanyabiashara wakubwa kufilisi benki kutumia mahakama kutinga mahakamani kusikia kitakachojili, kutoa tamko zito
Na Mwandishi wetu,
Ikiwa ni siku moja tangu gazeti hili liripoti kuhusiana na mchezo mchafu unaofanywa na wafanyabiashara wakubwa wanaokopa mabilioni ya pes ana kisha kukataa kulipa makusudi fedha hizo na kukimbilia mahakamani ambako hulalamikiwa kupewa ushindi kwa njama siri zaidi zimevuja kuhusiana na mmoja wa majaji aliyetoa hukumu tata kwa wafanyabiashara wawili kupewa ushindi kwa kesi mbili za benki mbili tofauti huku wakiwakilishwa na wakili mmoja na hukumu zao zikifanana kuhamishwa kutoka kuwa miongoni mwa majaji wa mahakama kuu divisheni ya biashara na kupelekwa katika moja ya mikoa ya nyanda za juu kusini akiendelea kuwa jaji
Taarifa zaidi zinasema kuwa wakati jaji huyo akihamishwa, wafanyabiashara walionufaika na hukumu za jaji huyo na majaji wengine tajikuta wakiingia kizimbani tena kuanzia leo kusikiliza rufaa zilizowasilishwa dhidi yao kutokana na mabenki waliyoyadhulumu kukata rufaa kupinga maamuzi yaliyopelekea kuhamishwa kwa baadhi ya majaji..Zaidi ingia www.jamvilahabari.co.tz
View: https://x.com/JAMVILAHABARI/status/1782626695679295701?t=cS12hjIkMvbwhr0bLrGk4g&s=09View attachment 2971694
alaf eti badala ya kufukuzwa kazi anahamishwa ki2o cha kazi!!mtaje mnamficha nini mpumbavu jaji huyo
Utaratibu wa kufukuzwa jaji si rahisi maana hata rais hana mamlaka ya kumfukuza (ingawa kwetu anaweza maana hakuna kufuata katiba) . Anaweza kumsimamisha wakati anachunguzwaalaf eti badala ya kufukuzwa kazi anahamishwa ki2o cha kazi!!
asante kwa elimu mkuu!! lakini je? akishitakiwa na akakutwa na hatia na akafungwa inakuaje hapo??Utaratibu wa kufukuzwa jaji si rahisi maana hata rais hana mamlaka ya kumfukuza (ingawa kwetu anaweza maana hakuna kufuata katiba) . Anaweza kumsimamisha wakati anachunguzwa
Removal of Judges
Where the President considers that the question of the removal of a Judge from office needs to be
invest gated, then the procedure shall be as follows:
(a) the President shall after consultation with
the Chief Justice, suspend that Judge from office;
(b) the President shall appoint a Tribunal which
shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and with at least
half of other members of the Special Tribunal must be persons who are judges of the High Court or Justices of Appeal in any country within the Commonwealth;
(c) the Tribunal shall investigate thematter and make a report to the President, advising on the whole matter, and shall advise him whe- ther or not the Judge concerned should be removed from office on the grounds of inability to per- form his functions due to illness or any other reason or on grounds of misbehaviour. If the Tribunal advises the President that the Judge be removed from office on grounds of inability to perform functions due to illness or any other reason or on grounds of misbehaviour, then the President shall remove the Judge from office and the employment of that Judge shall cease.
kama mfungwa mwingine yeyote. Anapofukuzwa, anakuwa hana kinga ya makosaasante kwa elimu mkuu!! lakini je? akishitakiwa na akakutwa na hatia na akafungwa inakuaje hapo??
Hatari sanando manake mzee MAGU alikuwa anafanya atakalo bila kujali mahakama,ata ROSTAM alishalalamikia hili
Mijizi ikijiwekea mfumo waoalaf eti badala ya kufukuzwa kazi anahamishwa ki2o cha kazi!!
Soon atawekwa wazi maana hakuna tena kifichomtaje mnamficha nini mpumbavu jaji huyo
Elimu nzuri umetoa, Lakini anachokifanya huyu jaji ni wizi wa mali na kodi za waTzUtaratibu wa kufukuzwa jaji si rahisi maana hata rais hana mamlaka ya kumfukuza (ingawa kwetu anaweza maana hakuna kufuata katiba) . Anaweza kumsimamisha wakati anachunguzwa
Removal of Judges
Where the President considers that the question of the removal of a Judge from office needs to be
invest gated, then the procedure shall be as follows:
(a) the President shall after consultation with
the Chief Justice, suspend that Judge from office;
(b) the President shall appoint a Tribunal which
shall consist of a Chairman and not less than two other members. The Chairman and with at least
half of other members of the Special Tribunal must be persons who are judges of the High Court or Justices of Appeal in any country within the Commonwealth;
(c) the Tribunal shall investigate thematter and make a report to the President, advising on the whole matter, and shall advise him whe- ther or not the Judge concerned should be removed from office on the grounds of inability to per- form his functions due to illness or any other reason or on grounds of misbehaviour. If the Tribunal advises the President that the Judge be removed from office on grounds of inability to perform functions due to illness or any other reason or on grounds of misbehaviour, then the President shall remove the Judge from office and the employment of that Judge shall cease.