Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Wasambaa /Wazigua /Wabondei ni watu wa ajabu sana!
Tanga Mjini baiskeli ni nyingi kuliko watu. Mpaka zinasimama kwenye mapitio ya waenda kwa mguu yaani 'Zebra'. Baiskeli zinakuwa foleni nyuma na katikati ya magari na zinaheshimika mno.
Baiskeli za Tanga Mjini zimeshonewa kiti cha abiria kama bodaboda.
Tuje kwenye siri ya wingi wa baiskeli Tanga:
Tanga Mjini ni sehemu ndogo yenye watu wengi na nyumba zilizokaribu karibu sana. Mji wa Tanga una barabara 21. Ukiwa na baiskeli unafika mapema kuliko mtu wa gari ama pikipiki. Njia za uchochoro no nyingi sana. Njia kuu ni ndefu.
Utawapenda tu!
Tanga Mjini baiskeli ni nyingi kuliko watu. Mpaka zinasimama kwenye mapitio ya waenda kwa mguu yaani 'Zebra'. Baiskeli zinakuwa foleni nyuma na katikati ya magari na zinaheshimika mno.
Baiskeli za Tanga Mjini zimeshonewa kiti cha abiria kama bodaboda.
Tuje kwenye siri ya wingi wa baiskeli Tanga:
Tanga Mjini ni sehemu ndogo yenye watu wengi na nyumba zilizokaribu karibu sana. Mji wa Tanga una barabara 21. Ukiwa na baiskeli unafika mapema kuliko mtu wa gari ama pikipiki. Njia za uchochoro no nyingi sana. Njia kuu ni ndefu.
Utawapenda tu!