Tetesi: Siri ya Matokeo ya Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar yaja juu

5525

JF-Expert Member
Apr 6, 2014
5,412
6,273
Kwa mujibu wa moja ya wafanyakazi wa tume ya uchaguzi Zanzibar ZEC jina tunalihifadhi kwa usalama wake anasema kuwa idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi wa marudio visiwani humo ni 58,732 hii ni sawa na asilimia 10% tu ya wapiga kura wote waliojiandikisha 2015..Na katika kura hizo Dr. shein alipata kura 48,175. (hii ni aibu kwa dr. Shein)

Ishu ikawa je tutamtangazaje Shein kuwa mshindi kwa kura elfu 48?..Katika mjadala huo na ndipo mwenyekiti wa ZEC, Jecha akataka kupewa muda awasiliane na Dr. Shein baada ya dakika 18 alirejea na kusema kuwa ameshauriana na Dr. Shein kuwa ZEC wafanye liwezekanalo lakini Shein asipate kura chini ya laki 2 (hii inaitwa kupanga matokeo ya mechi).

Baada ya hapo mwenyekiti wa tume Jecha akawaita maafisa watatu wa tume na kwenda nao chemba na kukaa huko kwa takribani saa 1 na walivyorudi kwenye kikao walirudi na kura za shein 299,982 ambazo hazikujulikana zilitoka wapi..Na jecha akasisitiza kuwa kwa kilichofanyika pale kiwe siri sana.

C&p
 
hivi list ya matokeo ya kila kituo ikoje na hao watu laki 3 walioenda kupiga kura walipita njia gani ...mbona palikuwa kimya kutwa nzima ....KAILIMA RAMADHANI Alikuwa anahojiwa bila aibu anawaambia waandishi msione mlikuwa mnaenda vituoni mnakuta kimya ..kuna vituo vingi kufikia saa sita kura wengi walishapiga
 
CCM uchawi ka yanga hahahahha
 

Attachments

  • FB_IMG_1458488007125.jpg
    FB_IMG_1458488007125.jpg
    37.1 KB · Views: 59
Hii ndio tabia ya kumshirikisha shetani ktk mambo ya haki! Shetani lazima atakuaibisha tu! Ila kwa kitambo sasa ccm imemkumbatia sana shetani baada ya kuachana na Mola wao. Dhambi hizi lazima akina shein na Jecha wake wawaze kuwa hawako dunia hii milele! wataonja mauti na huko ndipo kutakuwa na kilio na kusaga meno!
 
Hili lazima hata Hamad Rashid analijua, sasa inakuwaje MTU mzina kama yule anasimama na kusema maneno kama Yale yakuunga mkono hadharani matokeo yale? Huyu ni mnafiki mkubwa sana, ccm wakiunga mkono hilo linaeleweka sasa yeye toka chama cha upinzani tumweleweje?
Huyo akae huko huko Zanzibar na unafiki wake asiulete Dar anakofanya makazi yake
 
hivi list ya matokeo ya kila kituo ikoje na hao watu laki 3 walioenda kupiga kura walipita njia gani ...mbona palikuwa kimya kutwa nzima ....KAILIMA RAMADHANI Alikuwa anahojiwa bila aibu anawaambia waandishi msione mlikuwa mnaenda vituoni mnakuta kimya ..kuna vituo vingi kufikia saa sita kura wengi walishapiga

Hawa viongozi wa CCM walipozaliwa mishipa yao ya aibu ilibaki matumboni mwa mama zao kama ulivyokatwa na kukauka umbilical cord na kuanguka maana hauna matumizi tena!
 
NGOJA TUSUBIRI HIYO KESHO WATAKAOJITOKEZA KWENYE SHEREHE YA KUMUAPISHA , NATAMANI MABAROZI WAWAKILISHI WA NCHI Z NJE WASUSIE PIA.
 
Back
Top Bottom