Siri nzito kuhusu mapenzi

Siri nzito kuhusu mapenzi

jiwekuu770

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
2,246
Reaction score
1,646
Nimekua nikichunguza haya mambo ya mapenzi kwa muda mrefu na haya ndio majibu yangu;

1. Kuna watu hawana uzuri wowote lakini wanamvuto wa nguvu kwenye mapenzi (sura mbaya, mweusi tii, yupo yupo tu)
lakini watu wanampapalikia.

2. Kila mtu kuna kitu kina mvuta kwenye mapenzi wengine umbo, rangi, kimo, macho, sura, makalio (nikimuona mwanamke mwenye macho mazuri napagawa).

3 .Ukoo(genetic factor) kuna baadhi ya koo hawapendi au wana attraction ndogo na kuna koo nyingine wanapendwa mfano kuna ukoo flani duuh wanagombaniwa kama ni wa kiume basi wanawake kila siku wanamsumbua si mzee mtoto wala kijana na kama ni wa kike basi wanaume hawaishi kumhangaikia.

4. Attraction romantic force
Kila mtu anazaliwa na force flan ya kimapenzi kadili hiyo force inavozidi kuwa kubwa ndio mtu ana kua anamvutia karibuni kila mtu kima penzi

Hivi hujawahi kujiuliza kwanini baadhi ya watu kila mtu anampenda au anamshobokea awe na pesa , hana pesa, mchafu au msafi? Na kuna mtu kila mtu hamtaki au anamsumbua kima penzi haijalishi ana pesa au hana?
 
hiyo siri mpya ni ipi sasa jamani? Uandishi huuuu mweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
huna lolote kaka, kwanza hueleweki hizo siri ni zako tu au ni za watu wote. Nani kakwambie mwanamke akiwa mweusi ni mbaya? Tafakari tena kisha uchukue hatua.
 
Hiyo Research ulifanya lini na wapi? Vp kuhusu basis yako mfano sample, methods, margin of error n.k vilivyokufanya kuhitimisha hizo 'siri' zako
 
Me nmemuelewa hapo amekaa chumban anasubiri ugali ndo yakaja hayo mawazo! akishiba ataifuta hii thread I swear
 
Back
Top Bottom