Kama mke ndiyo first, naomba tujiulize haya yafuatayo:
1. Kwanini nyumba ndogo anunuliwe usafiri na ilihali mke hana hata bajaji?
2. Kwanini nyumba ndogo awekewe mradi na mke hana shughuli maalum ya kufanya?
3. Kwanini nyumba ndogo ajengewe nyumba na ilihali mke hana hata kiwanja?
4. Kwanini nyumba ndogo ndiyo huwa inapelekwa shopping majuu ama inaambatana Mzee kwenda trip za nje na ilihali mke hajawahi hata kufika Nairobi?
Kama ni kweli huko kwenye nyumba ndogo kuna 20%, je, hiyo asilimia 20 ina justify heavy investment/special treatment kama niliyotaja hapo juu? Kama kwa mke kuna 80%, basi mke angepewa top priority ya kufanyiwa very heavy investment na kupewa special treatment ukilinganisha na nyuma ndogo.
Najua Carmel utauliza kwanini mume hamwachi/hamtaliki mkewe? Wapo ambao wanaogopa dini zao (wakristo) kwamba kilichounganishwa na Mungu binadam hawezi kukitenganisha. Wako wanaoogopa familia zao (wazazi) so wanabaki wanavumiliana ndani ya nyumba hata kama wameishachokana. Wako ambao wanaogopa jamii iliyowazunguka, siku hizi siyo fashion tena kuoa na kuacha, lakini ku-cheat "some how iko acceptable". Kuoa na kuacha wengine wanaichukulia kama failure, lakini ku-cheat kwa siri ama kuwa na nyumba ndogo openly ni kawaida na inakubalika na hakuna mtu anaweza kushangaa.
Nyumba ndogo ikichimba biti, mzee lazima suruali ibane na yuko tayari kwenda kukopa ili amfurahishe nyumba ndogo. Lakini mke hata achimbe biti kali kiasi gani mume wala hashituki. Sasa kwanini suruali ibane wakati kuna 20% tu, na kule kwenye uzito mkubwa mume ndo hajali kabisa?
Mwisho, kuna mentality kwamba waafrika ndo tunaongoza kwa ku-cheat na kwamba wazungu wana afadhali. Ukweli ni kwamba wote ni ngoma droo. US ikifika nyakati za uchaguzi ndo utajua hata magavana na maseneta huwa wana cheat, na wengine wana cheat na wasichana wanaofanya kazi za kampeni. Ndio maana ndoa nyingi za celebs huwa hazidumu kwa kuwa paparazi saa zote wako migongoni. Kuna mtu alijua Tiger Woods alishalamba wanawake zaidi 10 akiwa kwenye ndoa yake? Mume wa Sandra Bullock anasema hata wakijitokeza 1,000,000 ni sawa tu, hoja ni kwamba ka-cheat. Hiyo pekee inaonyesha kwamba alishacheat na wengi sana. Yule Mzee wa Carolina alikuwa anafuata totoz yake Argentina, ameacha mkewe nyumbani. John Edwards kalamba dada wa Kampeni kasingizia kuwa ni gf wa msaidizi wake. Hiyo ni mifano michache tu. Cheating haina rangi wala kabila, labda ni tabia ya wanaume ama ndo asili yetu.
Kwanini wanaume wako radhi kutumia hela nyingi sana na kuingia gharama kubwa sana wanapokuwa wanaenda nje ya ndoa zao? Mwanaume akienda ku-cheat yuko tayari kulipia tiketi ya ndege, na kulala Ngurudoto Lodge, lakini akienda na mkewe wanapanda basi la kawaida na wanalala AM Investment Hotel. Kweli huko kuna 20% ama huwa kuna limbwata?
mie mwenzenu nasuport akina da sopphy kwa mikono na miguu miwili!
its soo unrealistic kuwa kny jamii kama yetu ambayo utamaduni wa vimada ni kama fasheni afu uje na remarks kama hizi...
inawezekana hata mtoa mada,mumeo au baba yako ana vimada lukuki...
its time we gave them,respect as they deserve!!......kwa sababu km tungekuwa tuna run our homes effectively...wao wasingehitajika...
BIG UP da sophy kwa kuwa na courage ya kuja hapa jamvini na kusema uliyosema...much respect!
Hii unayoongelea wewe Keil ni asilimia ndogo sana, na tena i would dare to say ni mwanaume mjinga wa kutupwa ndo anaeweza kufanya hayo kwa nyumba ndogo wakati kwake hakuna. naweza kumwita mbumbumbu wa mapenzi kama hajafanyiwa limwata. Lakini with all things in constant hakuna mwanaume anayeweza kufanya hayo. tunaweza kuweka poll hata hapa jf wanaume waseme. NA WANAOFANYA HIVYO NI WALE WALIO NA PESA NYINGI, WANA KILA KITU KIASI AKIOPOA HUYO NYUMBA NDOGO ambaye hajareach standard zake ndo inabidi am upgrade ili afikie kiwango chake. Hebu fikiria inawezekanaje mwanaume amjengee nyumba ndogo na kumnunulia gari wakati mkewe na yeye wanaishi nyumba ya kupanga na kupanda daladala? hiyo akili au matope? Think about it. lakini bottom line is nyumba ndogo ni nyumba ndogo no mateer how people try to justfy
sijui we bibie umelelewa malezi gani hadi ushabikie uzinzi, lakini mimi najua kutembea na mume wa mtu ni utovu wa nidhamu na kujishusha hadi grade ya chini. so i dont buy it. Mume wangu hana kimada, hajawahi na hili nasema wazi, na hata yeye anapitia humu nina uhakika anasoma. baba yangu tangu nikue hadi nikawa na akili timamu sijawahi kumhisi na hata kusikia, i guess i am lack that way. so siwezi kukushangaa wewe na opinion yako, yawezekana kwako hii ni order of the day so what can i expect from you? wanasemaga birds of the same feathers....... so cheer them up gal.
Poor Carmel!!!! Poor Binamu!!!sijui we bibie umelelewa malezi gani hadi ushabikie uzinzi, lakini mimi najua kutembea na mume wa mtu ni utovu wa nidhamu na kujishusha hadi grade ya chini. so i dont buy it. Mume wangu hana kimada, hajawahi na hili nasema wazi, na hata yeye anapitia humu nina uhakika anasoma. baba yangu tangu nikue hadi nikawa na akili timamu sijawahi kumhisi na hata kusikia, i guess i am lack that way. so siwezi kukushangaa wewe na opinion yako, yawezekana kwako hii ni order of the day so what can i expect from you? wanasemaga birds of the same feathers....... so cheer them up gal.
kweli hommie ila ukweli unabaki kua ni hulka tu za kujiendekeza....mi haya ya kua mume/mke hanitimizii ni asilimia chache sana nyingi ilioibaki ni fashion tu.....nasie wala hatuna tabu mama manka atabaki kua mama manka tuu hoa kina da Sophy ni kumega tu!!
umenichekesha sana, na kunikumbusha siku moja niko saloon kuna kaka mmoja alimleta mke wake atengeneze kucha sasa mtegeneza kucha ni kijana akawa anaushika mguu anausafisha akauinua kidogo juu yule kaka akawa anamuangalia kwa mbali nje ghafla akaingia saloon akamwambia mkewe haya tuondoke mke hakajibu mbona sijamaliza nimekwambia tuondokeee!! akamvuta akamtoa nje wakapanda kwenye gari haooo toka siku hyo sikuwahi kumuona huyo dada saloon.Umenifungua akili:
With immediate effect, the salon thing is strictly prohibited to my darling wife!!!!! Aidha nimsuke mwenyewe au nimnyoe upara kudadadeki.
Halafu ukute saluni yenyewe ya wakongo. Au msusi mwenyewe mmasai mwenye mtarimbo kama mguu wa mwanangu matesha. LOL!
Pole sana binamu kama wewe pia ni mgonga nje. yes, againi and again, nasema tena wangu hajagonga nje hadi sasa, nyie mnaona ni impossible kaeni hivo hivo na imposibilities zenu. tatizo watu mmezoea maovu kiasi kwamba mnaona mema hayawezekani lol. what makes you think haiwezekani kuwa mwaminifu? aPoor Carmel!!!! Poor Binamu!!!
Hivi unategemea atakutangazia kuwa ana nyumba ndogo. Mama Matesha wangu anaweza kukuapia kuwa mimi mme wake mpenzi niliyeshushwa toka mbinguni kwa ajili yake tu, sijawahi kugonga nje tangu nimuoe. Anaamini hivyo kama ambavyo wewe unavyoamini. Infact ni asilimia kubwa ya wanawake wanaamini hivyo.
Lakini ukweli tunaujua sisi. Mama Matesha wala hata hajui kama nimeshamgongea rafiki yake, nimeshamtafunia mdogo wake, hapo usihesabu kina Eliza na wasaidizi wao.
umenichekesha sana, na kunikumbusha siku moja niko saloon kuna kaka mmoja alimleta mke wake atengeneze kucha sasa mtegeneza kucha ni kijana akawa anaushika mguu anausafisha akauinua kidogo juu yule kaka akawa anamuangalia kwa mbali nje ghafla akaingia saloon akamwambia mkewe haya tuondoke mke hakajibu mbona sijamaliza nimekwambia tuondokeee!! akamvuta akamtoa nje wakapanda kwenye gari haooo toka siku hyo sikuwahi kumuona huyo dada saloon.
.mmmmh am puzzled!! mkuu hata wewe???? sihukumu .... najaribu tu kufikiria kama unamaanisha ulicho bandika!!
There is no justification for infidelity!!
Kuna couples jumamosi mwanamke anasema anaenda saluni, mwanaume site, haooooo. Kila mtu anaishia hotel room. Sasa kama hawatoshelezani na kila mtu kaamka na hamu yake, si ingewezekana kabisa wakapeana raha asubuhi hiyo halafu wakafanya kazi za kujenga familia na taifa? Wanaume hawawapi wake zao stahili zao, ila nyumba ndogo wanajishughulisha sana kwa bidii tena ukute umri umeenda mpaka dawa za mitishamba anakunywa! Wanawake hawakati viuno nyumbani ila wanakata mtaani. Basi ndio cheating kwa sanaaaa na hivyo discipline ya condom hamna = ukimwi na kuacha yatima
Wanaume wote tumeumbwa kwa namna moja na tuna tabia zinazofanana. Nina marafiki lukuki niliokutana nao shuleni/baa/kanisani/kazini nk nk nk..... Woooote hao hakuna niliyemuuliza kama amewahi kugonga nje akakanusha. Lakini wooooote hao, wake zao wanawaamini kama wewe unavyomwamini mmeo.Pole sana binamu kama wewe pia ni mgonga nje. yes, againi and again, nasema tena wangu hajagonga nje hadi sasa, nyie mnaona ni impossible kaeni hivo hivo na imposibilities zenu. tatizo watu mmezoea maovu kiasi kwamba mnaona mema hayawezekani lol. what makes you think haiwezekani kuwa mwaminifu? a
.
Madabwada, kwa kabila mimi Msukuma chapa ng'ombe, I'n not jocking, hapa nilipo tayari nina watoto 5 wamama 2 na bado!.
Poor Carmel!!!! Poor Binamu!!!
Hivi unategemea atakutangazia kuwa ana nyumba ndogo. Mama Matesha wangu anaweza kukuapia kuwa mimi mme wake mpenzi niliyeshushwa toka mbinguni kwa ajili yake tu, sijawahi kugonga nje tangu nimuoe. Anaamini hivyo kama ambavyo wewe unavyoamini. Infact ni asilimia kubwa ya wanawake wanaamini hivyo.
Lakini ukweli tunaujua sisi. Mama Matesha wala hata hajui kama nimeshamgongea rafiki yake, nimeshamtafunia mdogo wake, hapo usihesabu kina Eliza na wasaidizi wao.
.
Madabwada, kwa kabila mimi Msukuma chapa ng'ombe, I'n not jocking, hapa nilipo tayari nina watoto 5 wamama 2 na bado!.
At least sasa tunaanza kuimba wimbo mmoja!ndio mana mie naogopa kumkania kabisa, kwamba hatoki cjui na kitu gani, bora nijiweke 50-50 tu mambo mengine yafate, lakini cku nikilikamata yaani cjui.....hivi chris hebu nikuulize, sasa kama wewe ni sababu gani inakufanya utoke nje? naomba nijue plz.
sijui we bibie umelelewa malezi gani hadi ushabikie uzinzi, lakini mimi najua kutembea na mume wa mtu ni utovu wa nidhamu na kujishusha hadi grade ya chini. so i dont buy it. Mume wangu hana kimada, hajawahi na hili nasema wazi, na hata yeye anapitia humu nina uhakika anasoma. baba yangu tangu nikue hadi nikawa na akili timamu sijawahi kumhisi na hata kusikia, i guess i am lack that way. so siwezi kukushangaa wewe na opinion yako, yawezekana kwako hii ni order of the day so what can i expect from you? wanasemaga birds of the same feathers....... so cheer them up gal.
Na wewe leo tumeimba kwaya moja. unanidai ndovu tatu!Oooh my dear friend omba mungu apishe mbali kama kweli hajawahi shukuru mungu kimoyo moyo na roho wa mungu aendelee kumuongoza katika hilo .wana siri hao huwa inatokea ikugundulika kwa bahati mbaya na katika mazingira usiyoweza kuamini.
Oooh my dear friend omba mungu apishe mbali kama kweli hajawahi shukuru mungu kimoyo moyo na roho wa mungu aendelee kumuongoza katika hilo .wana siri hao huwa inatokea ikugundulika kwa bahati mbaya na katika mazingira usiyoweza kuamini.