Kuna tabia ndogo ndogo ambazo zinakera kwenye jamii lakini unashindwa kumuambia mtu live Kutokana na umri hadhi au aibu juu yake lakini vinakukera kila siku..
Kupitia uzi huu naomba tufikishe ujumbe kwa woote wenye hizo tabia wajirekebishe.. Au tujirekebishe pia kama tupo humu..
Naanza na hizi..
Sipendi baba kumbeba mtoto wake huku anavuta sigara..!
Sipendi kila ukifika usiku mtu anakutext "umelala"?
Mwisho tunasema "Acha hiyo ni tabia mbaya"