GODWN
Member
- Nov 2, 2016
- 34
- 19
Habari wakuuu..
Leo napenda kusema tatizo ambalo nakumbana nalo kilasku usiku napouchapa usingz. OK iko hiv ..
Yapata miaka mitano sasa nmekuwa nikihangaika usiku hasa wakati wa kuuchapa usingizi kwani huwa Nina shda ya mdomo kutokwa mate paspo kujijua ambayo huwa yana haruf nzito na Kali ile mbayaa na yakitua kweny shuka uspolifua ile harf ni ya kudumu inaweza kudm hata wiki nzma ndo harf inakata. Nmekuwa n mtu wa kufua kilasku had nmechoka sasa. Hii hali inanitokea sana naweza kusema kilasku inafkia wakt nakoswa confidence pale inaponilazmu kulala ugenini au pale ambapo napokuwa na papuchi usku huwa najtahd sana nisipitiwe na usngz had asbh kwa kuhofia kutokwa mate ambayo yanakera. Had naogopa na kuoa
Ingawa nilieka destur ya kuwa napga mswaki kilasku usku napotaka kulala lkn bado hali ni ileile na nikfanyahvo mate huwa yanajaa sana mdomon nikstuka usngzn.
Tafazl sn wakuu naomben mchango wa kimawazo mwenzenu.
Naomba kuwakilisha
Leo napenda kusema tatizo ambalo nakumbana nalo kilasku usiku napouchapa usingz. OK iko hiv ..
Yapata miaka mitano sasa nmekuwa nikihangaika usiku hasa wakati wa kuuchapa usingizi kwani huwa Nina shda ya mdomo kutokwa mate paspo kujijua ambayo huwa yana haruf nzito na Kali ile mbayaa na yakitua kweny shuka uspolifua ile harf ni ya kudumu inaweza kudm hata wiki nzma ndo harf inakata. Nmekuwa n mtu wa kufua kilasku had nmechoka sasa. Hii hali inanitokea sana naweza kusema kilasku inafkia wakt nakoswa confidence pale inaponilazmu kulala ugenini au pale ambapo napokuwa na papuchi usku huwa najtahd sana nisipitiwe na usngz had asbh kwa kuhofia kutokwa mate ambayo yanakera. Had naogopa na kuoa
Ingawa nilieka destur ya kuwa napga mswaki kilasku usku napotaka kulala lkn bado hali ni ileile na nikfanyahvo mate huwa yanajaa sana mdomon nikstuka usngzn.
Tafazl sn wakuu naomben mchango wa kimawazo mwenzenu.
Naomba kuwakilisha