Sipati picha hiyo siku itakuaje humu jukwaani!!!!

Sipati picha hiyo siku itakuaje humu jukwaani!!!!

mkolaj

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2014
Posts
3,023
Reaction score
1,092
Hebu tuambiane siku ambayo moderators wa humu jukwaani watakapoamua members wote wa humu wabadili majina yao wanayotumia sasa hivi na waanze kutumia majina yao halisi. Je, jukwaa litapoteza mvuto wake au litaongeza mvuto??
 
Nitabadili na harakati zitaendelea kama kawaida tu.
 
Na Avatars ziwe picha halisi!
Ninajaribu ku-figure out FaizaFoxy atakavyokuwa akionekana akiweka avatar yake halisi hapa Jukwaani bila kuvaa wigi lake kichwani!
 
watahakikishaje kama kweli hili ni jina la mtu muusika sahihi.....!?
 
watahakikishaje kama kweli hili ni jina la mtu muusika sahihi.....!?

Tutajisajili kwa kutumia mamba za simu zilizosajiliwa! Madame B ataficha wapi sura yake mitaani? Halafu ndo umkute ndo mamsap wako! Uwiiiiii!!
 
Ha ha ha ha ha Sijui itakuwaje kwa wanaume wanaojipa sifa za kike.
 
Tumia jina lako halisi we mtoa mada..hakuna tatizo lolote.
 
Ah..huu ukorofi ila kwasababu ni mawazo tu poa
 
Mbona rahisi sana tu,tutabadili majina nakuwa na majina ya watu kamili ambayo pia sio yetu.
Sasa kuna watu wanitwa Panya kwa huku Zanzibar sasa sijui watachukulia kama jina au nickname.

Maana makampuni ya sim yenyewe yamenshidwa itakuwa humu.
Maana kuna watu kibao wanatumia majina yao ya umaarufu mtaani na wamesajiliwa.
Wangeanza kwanza Facebook
 
Hiyo siku naamini itakuwa yenye furaha sana manake tutamjua Aminata mrembo ni nani kwa jina lake halisi.
 
Back
Top Bottom