Sioni bajeti ya maji ikipita kesho!

Sioni bajeti ya maji ikipita kesho!

Mh Nyangwine,Mh Laizer,Mh Mkono,Mh Shabiby.. Mwingine amedai safari za nje na maposho yapunguzwe ili maji yapatikane.
 
Jee unajua the consequences bajeti isipopita?!. Leo usiku Party caucus itakaa na kuipitisha kwa kauli moja!. Huwa wanakaaga tuu na kuamua kutounga mkono hoja, siku ya kupitisha wataunga mkono hoja!.
P.
 
Mkuu Pasco nakupata. Hiyo Party caucus ni kawaida yao,anyway.. Tutaenda hivyo hivyo,ila ni mambo ya kujenga kwa kweli bunge linapokuwa likitetea maslahi ya wananchi..
 
Jee unajua the consequences
bajeti isipopita?!. Leo usiku Party caucus itakaa na kuipitisha kwa
kauli moja!. Huwa wanakaaga tuu na kuamua kutounga mkono hoja, siku ya
kupitisha wataunga mkono hoja!.
P.

kabisa wabunge wa magamba hawaeleweki kabisa,hiyo bajet itapita kiulaini tena bila kubadilishwa chochote.
 
Hata hiyo bajeti ikiongezwa hizo pesa wanazozipendekeza hazitatatua tatizo la maji. Bajeti inapaswa kuambatana na uwezo wa utekelezaji. Uwezo huo haupo ama pesa hazitatumika au zitaliwa kwa miradi isiyo na tija! Kwangu mimi naona wabunge wanafanya siasa tu kuwaimpress wapiga kura wao.
 
Hata hiyo bajeti ikiongezwa hizo pesa wanazozipendekeza hazitatatua tatizo la maji. Bajeti inapaswa kuambatana na uwezo wa utekelezaji. Uwezo huo haupo ama pesa hazitatumika au zitaliwa kwa miradi isiyo na tija! Kwangu mimi naona wabunge wanafanya siasa tu kuwaimpress wapiga kura wao.
Kwa nini isipite? Wanachodai ni ndogo. Sasa hilo ni kosa la waziri au la Serikali? Hiyo inapita tena kiulaini.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kwa nini isipite? Wanachodai ni ndogo. Sasa hilo ni kosa la waziri au la Serikali? Hiyo inapita tena kiulaini.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
soma maoni yangu vizuri. naona unasema nisichokipinga mimi. najua itapita.
 
Chibolo kama ungeangalia mjadala jana,hatua ya bi kiroboto ya kuirudisha bajeti tena ikaandaliwe upya, usingepokea kwa mshangao maamuzi yake..
 
Last edited by a moderator:
kinauche haya ni masuala yyya kitaifa. Na maji ni sensitive issue. And very sensitive.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom