Siongei na Mbwa Bali Mwenye Mbwa. Hii Ilikuwa Kauli Ya Tajiri Gani?

Aliitolea wapi? Na nani aliesikia au wote tunaambiana tusichokijua....Nani alisikia akisema hivyo? Mie nilimsikia Juma Nkamia Akitoa Kauli km hiyo au inayofanana na hiyo akiwa Bungeni....
Mkuu sio inafanana, ndio hiyo ni kweli JUMA NKAMIA NDIYE alisema
 
Hata yule aliekuwa meya wa ilala alishatoa kauli kama hii kwa mh kipindi waziri wa ujenzi walitofautiana kwenye inshu ya mabango ya barabarani yaliyokuwa kwenye wilaya yake
 
Mkuu samahani, pamoja na maelezo yako marefu je ni sahihi mtu kuwa na mihuri ya client wake? Kama alishasupply je hiyo alibakiwa nayo ya nini? Pia nijuavyo mimi kama alikuwa anasupply uniform za jeshi ni zamani na siyo sasa. Je hizo uniform alibakiwa nazo za nini wakati yeye si supplier wa uniform za jeshi? Maana kama existing contract na client wake then ni kosa kisheria kumiliki vitu ambavyo sheria haimruhusu kuvimiliki.
 
Hapa kuna ukweli kwamba ni tajiri wa Arusha,jina sina hakika lakini lina walakini sana! Uongo ni kwamba huyo tajiri amefilisika....ukweli mwingine ni kwamba ana Magari mengi sana....

 
Hiyo kauli ilitolewa na kubwa la majambazi wa madini na aliyekuwa diwani wa Mererani na kada mtiifu wa CCM Justin Nyari ..
 


Na mwenyewe hajaegesha kama magari yake
 
Hii kauli imetolewa na wengi tuu!! Manji, ZHP, Zacharia, Nkamia, Nyari, etc. Hata Sumaye nae alishawahi kupigwa hiyo wakati akiwa naibu waziri mifugo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…