Sio rahisi lakini inawezekana

biggirl

Member
May 25, 2012
66
12
Habarini wadau...Daah nimejikuta moyo wangu mzito sana asubuhi ya leo
1.Wasiwasi unaoletwa na maisha haya ya kila siku .Mume hatulii,malezi ya watoto mabek tatu hawaeleweki,migogoro ya ndoa namikasa inayokuta watu kila kukicha..
Haya yote yananinyima raha,natamani kila mwanamama afikie wakati awe jasiri kuchukua maamuzi magumu...ie aweze kulea watoto wake mwenyewe bila kuzinguana na baba yao,kila mtu aishi raha mstarehe,kwani nani aliumbwa ili aishi kwenye tabu jamani?
Sipendi kuona mtu anasononeka kisa ndoa..mwenzangu kanikosea..kanikosesha ...what for?heshimianeni /pendaneni ...Inaniuma sana
 
pole sana mkuu. Kila kitu kinawezekana kama ukimshirikisha Mungu. Mimi naona ujaribu kumketisha mumeo na kumueleza yaliyomo moyoni mwako, ikishindikana shirikisha ndugu wa karibu. Familia ni yenu wote na niwajibu wenu kuhakikisha inastawi. Matatizo yaliumbiwa binadamu. pole sana. Mia
 
hAKUNA BARABARA ISIYO NA KONA, NDIO MAISHA.. CHA MUHIMU MWISHO IBAKI HISTORIA
 
Habarini wadau...Daah nimejikuta moyo wangu mzito sana asubuhi ya leo
1.Wasiwasi unaoletwa na maisha haya ya kila siku .Mume hatulii,malezi ya watoto mabek tatu hawaeleweki,migogoro ya ndoa namikasa inayokuta watu kila kukicha..
Haya yote yananinyima raha,natamani kila mwanamama afikie wakati awe jasiri kuchukua maamuzi magumu...ie aweze kulea watoto wake mwenyewe bila kuzinguana na baba yao,kila mtu aishi raha mstarehe,kwani nani aliumbwa ili aishi kwenye tabu jamani?
Sipendi kuona mtu anasononeka kisa ndoa..mwenzangu kanikosea..kanikosesha ...what for?heshimianeni /pendaneni ...Inaniuma sana

Pole kwa yanayokusibu. Mara nyingi ni vzr kuchukua maamuzi magumu, lakini si kila maamuzi magumu ni sahihi! Unahitaji kutumia busara zaidi kuliko kuchukua maamuzi magumu. Maamuzi magumu yawe last resort! Ninachoshauri ni jaribu kutumia njia zozote zile (kwa kutumia ndg, kukaa naye, kutumia viongozi wa dini, wazazi, washenga nk) kutatua migogoro ya ndani ya nyumba yako. Ni jambo baya sana ndoa kuvunjika na pia huleta matatizo mengi kwa watoto wenu mliowazaa na hata kwa ndg na ndg kujikuta wakigombana na kununiana kwa ajili yenu.

Orherwise nashukuru kwa ushauri wako kwa wanandoa, kuwa wapendane, waheshimiane na waache kukoseana.
 
Habarini wadau...Daah nimejikuta moyo wangu mzito sana asubuhi ya leo
1.Wasiwasi unaoletwa na maisha haya ya kila siku .Mume hatulii,malezi ya watoto mabek tatu hawaeleweki,migogoro ya ndoa namikasa inayokuta watu kila kukicha..
Haya yote yananinyima raha,natamani kila mwanamama afikie wakati awe jasiri kuchukua maamuzi magumu...ie aweze kulea watoto wake mwenyewe bila kuzinguana na baba yao,kila mtu aishi raha mstarehe,kwani nani aliumbwa ili aishi kwenye tabu jamani?
Sipendi kuona mtu anasononeka kisa ndoa..mwenzangu kanikosea..kanikosesha ...what for?heshimianeni /pendaneni ...Inaniuma sana

Wadada wa siku hizi mnapenda kuishi kizungu zungu wkt ni waafrika mbona bibi zenu walikuwa hawalalamiki jifunzeni kunyenyekea waume zenu
 
mmm mshirikishe Mungu akusaidia kwani maisha sio lelemama yawe ya ndoa au ya useja hakuna shortcut au formulae.
 
mfumuko wa bei umewafanya wasiondoke lol,life lilivyo ngumu uchukue jukumu la kumuacha mumeo utaweza kulea kweli??au ndio itabidi uchukue kazi nyingingi ya kufanya ufuska ila wanao wavae/wale...
 
Duh! Hivi kuna umuhimu wa kuingia kwenye ndoa kweli?maana waliopo kwenye ndoa kila siku wanalalamikia ndoa zao..bora tu huku nje ya ndoa aise!
 
Back
Top Bottom