Mie ni mwl kama jina linavyoonesha hapo juu but sikuwahi feli, maana o_level Nina div two na advance div one, sasa nashangaa watu wanajadili out of facts, walimu wengi wa secondary wenye degree wana ufaulu mzuri tu tena kuliko hata wanaojgamba humu ila tu kuna sababu mbalimbali zinazopelekea watu waende teaching, mfano mie katika familia yangu kabla ya Mimi na wadogo zangu kusoma tulikuwa na mtu mmoja tu aliyesoma tena kasoma sheria ,mm nilikuwa na mpango wa kusoma sayans ya mazngira ama sociology ila huyo brother KWA uzoef wake alioona wenzake waliosa sheria wanavyoteseka akashauri tusomee ualimu ili kumpunguzia yy mzigo!!