Mimi ni mwalimu sekondari,Mara nyingi nasoma post za watu hapa Jf kuhusu walimu,wapo watu wengi wanasema walimu wote walifeli,mimi sijawahi kufeli kuanzia darasa la saba hadi kufika chuo kikuu cha UDSM nilisoma BAED na kuajiriwa hapa Dar,,nikiwa chuoni sikuona mwanachuo anayesomea ualimu akiwa amefeli,,shule ninayofundisha sijawahi kuona walimu waliofeli,wapo wengi ni division one na two,please isiwe general kuwa walimu wamefeli Bali ni katika kupambana na maisha,pia ni kada gani watu walifaulu sana kuliko walimu,tuache walimu na maisha yetu
Wewe utakuwa hukufeli vizuri.hebu angalia tena matokeo yako lazima.kuna mahali ulifaulu tu vinginevyo........Mini mbona nimefeli na sijawa mwalimu....
Mie ni mwl kama jina linavyoonesha hapo juu but sikuwahi feli, maana o_level Nina div two na advance div one, sasa nashangaa watu wanajadili out of facts, walimu wengi wa secondary wenye degree wana ufaulu mzuri tu tena kuliko hata wanaojgamba humu ila tu kuna sababu mbalimbali zinazopelekea watu waende teaching, mfano mie katika familia yangu kabla ya Mimi na wadogo zangu kusoma tulikuwa na mtu mmoja tu aliyesoma tena kasoma sheria ,mm nilikuwa na mpango wa kusoma sayans ya mazngira ama sociology ila huyo brother KWA uzoef wake alioona wenzake waliosa sheria wanavyoteseka akashauri tusomee ualimu ili kumpunguzia yy mzigo!!Acha ujinga,,,, walimu wa sekomdari na msingi ni wale walio na ufaulu dhaifu
Yaani wamefail
Jaribu labda utapata nafasiMini mbona nimefeli na sijawa mwalimu....
Waambie jamaa maana wanaiga kama kasuku, hawajafanya utafiti wanacopy na kupest then wanadraw conclusion, haa haaahaaaa pole yao sana, something is better than nothing, kuna watu hum wanajgamba eti wamesoma vtu vikubwa halaf wapo kitaa kila siku wanazunguka na bahasha za kaki mikononi,Mimi ni mwalimu sekondari,Mara nyingi nasoma post za watu hapa Jf kuhusu walimu,wapo watu wengi wanasema walimu wote walifeli,mimi sijawahi kufeli kuanzia darasa la saba hadi kufika chuo kikuu UDSM nilisoma BAED na kuajiriwa hapa Dar,,nikiwa chuoni sikuona mwanachuo anayesomea ualimu akiwa amefeli,,shule ninayofundisha sijawahi kuona walimu waliofeli,wapo wengi ni division one na two,please isiwe general kuwa walimu wamefeli Bali ni katika kupambana na maisha,pia ni kada gani watu walifaulu sana kuliko walimu,tuache walimu na maisha yetu
Mkuu kwani kwa uelewa wako katika kada zote tofauti tofauti za serikali mfano elimu,afya,kilimo N.K ni kada ipi inayochukua ufaulu mkubwa kuliko zote tuchukulie mfano katika level ya certificate.tuanzie hapo mkuuYani.mtu alofaulu vizuri akawa mwalimu? Dah kaa.wapo ni zaidi ya.wachache. Hivi uliplani.toka mdogo kweli kuwa mwalimu? Ulifurahia kuchaguliwa kusomea elimu(ualimu) na unainjoy kuwa mwalimu?
Mkuu kwani kwa uelewa wako katika kada zote tofauti tofauti za serikali mfano elimu,afya,kilimo N.K ni kada ipi inayochukua ufaulu mkubwa kuliko zote tuchukulie mfano katika level ya certificate.tuanzie hapo mkuu
Ngazi ya cheti afya ndo wanachukua vilaza kabisaKwa ngazi yà cheti, yote ni majipu tu hakuna wa afadhali hapo
Mkuu hujajibu swali langu..katika kada zote level ya certificate ni kada ipi inayochukua ufaulu mkubwa kuliko zote...tuanzie hapo level ya chini kabisa tupande then tutakuja na conclusion vizuri tuKwa ngazi yà cheti, yote ni majipu tu hakuna wa afadhali hapo
Mimi ni mwalimu sekondari,Mara nyingi nasoma post za watu hapa Jf kuhusu walimu,wapo watu wengi wanasema walimu wote walifeli,mimi sijawahi kufeli kuanzia darasa la saba hadi kufika chuo kikuu UDSM nilisoma BAED na kuajiriwa hapa Dar,,nikiwa chuoni sikuona mwanachuo anayesomea ualimu akiwa amefeli,,shule ninayofundisha sijawahi kuona walimu waliofeli,wapo wengi ni division one na two,please isiwe general kuwa walimu wamefeli Bali ni katika kupambana na maisha,pia ni kada gani watu walifaulu sana kuliko walimu,tuache walimu na maisha yetu