Natumai hamjambo wanajukwaa,
kila mmoja wetu kapitia matukio kadhaa katika mahusiano ambayo ni ngum kuyasahau, hivo nivizuri tukashare ajili yakujifunza.
Upande wangu nilikua nakasumba ya kumfuata mpenzi wangu kwao kila tulipokua na miadi ya sex, bt siku hiyo nilipitiwa usingizi hivo akanitafuta kwa sim haipokelewi akahisi nacheat....
akaamua kuja mwenyewe bt njian akajeruhiwa vibaya na mbwa, alilia sana nakunilaum alipofika then nilimchua mafuta ya taa kama huduma yakwanza huku nikimbembeleza then tukakubaliana asubuhi kwenda hospital kwa siri ajil ya matibabu na hatmae alipona.
Now zamu yenu wakuu
kila mmoja wetu kapitia matukio kadhaa katika mahusiano ambayo ni ngum kuyasahau, hivo nivizuri tukashare ajili yakujifunza.
Upande wangu nilikua nakasumba ya kumfuata mpenzi wangu kwao kila tulipokua na miadi ya sex, bt siku hiyo nilipitiwa usingizi hivo akanitafuta kwa sim haipokelewi akahisi nacheat....
akaamua kuja mwenyewe bt njian akajeruhiwa vibaya na mbwa, alilia sana nakunilaum alipofika then nilimchua mafuta ya taa kama huduma yakwanza huku nikimbembeleza then tukakubaliana asubuhi kwenda hospital kwa siri ajil ya matibabu na hatmae alipona.
Now zamu yenu wakuu