Sinotruck - HOWO (Horses) & CIMC Trailers for Sale

Sinotruck - HOWO (Horses) & CIMC Trailers for Sale

Mbona bei zinatofautiana sana na wenyewe au wewe dalali?
Bei ya 51 unaweka 56
Ngoja niende kupata quotation tena.
Aidha zimepanda kwa mda wa wiki mbili au vingine
Kuna kampuni nyingi,

Na wapo wateja ambao hawaprefer zilizokuwa assembled in Tanzania, kwao wameona zinabaadhi ya mapungufu

Sisi biashara yetu ni kuuza ambazo ziko assembled au refurb directly kutoka China

Na hicho ndicho kinacholeta pia utofauti pia kwenye bei

- Importer anayeingiza parts for assemble kodi yake iko chini tofauti na anayeimport gari lote zima

Ni kama upande wa SAAB Scania,
Wapo wateja wanaoprefer Scania Buses with Marcopolo Body directly toka Brazil ambao wao hawachukui SAAB wanaagiza toka Brazil wao wenyewe etc

Eg. Kilimanjaro Express yeye huagiza body zake South Africa directly na chases huchukua aidha SAAB au UK na kuvalisha huvalisha yeye mwenyewe kwa kukwepa bei kubwa kwa kuagiza SAAB au lote kutoka abroad

FB_IMG_1754378605355.jpg

FB_IMG_1754378609471.jpg
 
Kuna kampuni nyingi,

Na wapo wateja ambao hawaprefer zilizokuwa assembled in Tanzania, kwao wameona zinabaadhi ya mapungufu

Sisi biashara yetu ni kuuza ambazo ziko assembled au refurb directly kutoka China

Na hicho ndicho kinacholeta pia utofauti pia kwenye bei

- Importer anayeingiza parts for assemble kodi yake iko chini tofauti na anayeimport gari lote zima

Ni kama upande wa SAAB Scania,
Wapo wateja wanaoprefer Scania Buses with Marcopolo Body directly toka Brazil ambao wao hawachukui SAAB wanaagiza toka Brazil wao wenyewe etc

Eg. Kilimanjaro Express yeye huagiza body zake South Africa directly na chases huchukua aidha SAAB au UK na kuvalisha huvalisha yeye mwenyewe kwa kukwepa bei kubwa kwa kuagiza SAAB au lote kutoka abroad

View attachment 3431998
View attachment 3431999
Asante sana kwa ufafanuzi mzuri, swali moja la ziada Mkuu.
Kama ni hivyo kama mtu akitaka chassis tu ya mende bila body used au mpya bei zake zipoje?
 
Kuna kampuni nyingi,

Na wapo wateja ambao hawaprefer zilizokuwa assembled in Tanzania, kwao wameona zinabaadhi ya mapungufu

Sisi biashara yetu ni kuuza ambazo ziko assembled au refurb directly kutoka China

Na hicho ndicho kinacholeta pia utofauti pia kwenye bei

- Importer anayeingiza parts for assemble kodi yake iko chini tofauti na anayeimport gari lote zima
Samahani nimeiona hii Je bei zake zipoje nafikiri ni 8x4
IMG_0918.jpeg
 
Najipanga nimvute zuchu wangu nikapige kazi porini pesa zimejaa tele porini
 
Hizi unafunga hata jembe unaingia shamba unalima msimu ukiisha unaingia road
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom