Sawa mkuuCheka taratibu utaanguka
U singo mwishowe tuugue tuitwe central buree wakati kila kitu kinawezekana
unaniacha wakat mubashara
Haya mambo hayataki hasira...
Unaondoka tunachangamkia fursa
Makonda hataki mchezo halaf anaweza kukufukuza kwenye mkoa wake ,,,kwa hiyo fanya fanya basii
Eti tuitwe central!!!
That was funny
Nishapewa 'go ahead', twenz'etu kule pembenunaniacha wakat mubashara
Hahah!Makonda hataki mchezo halaf anaweza kukufukuza kwenye mkoa wake ,,,kwa hiyo fanya fanya basii