Single mother, looking for husband

Lonelyness

Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
28
Reaction score
12
Umri wangu 28 mkristo, mwajiriwa serkaln, natafuta mume alie nawatoto pia tujenge familia, hata asiye na uwezo wakupata watoto.

Wanangu nina uwezo wakuwahudumia usihofu, ila upweke ndo unanisumbua, nilipenda nisikopendwa nikanyanyasika sana nikaamua kuachia wengine, ila sikufunga ndoa.
 
Una watoto wangapi? Unaishi wapi kwa sasa, moyo unanienda kasi!
 
Mi nakushauri kampani yako iwe watoto. Usitafute presha zaidi. Wanaume hatutabiriki.
Mkuu hata uwe una watoto mia tatu kuna sehemu lazima kama binadamu unahitaji kuwa na mtu wa jinsia nyingine haijalishi umetendwa mara ngapi na hii ni kwa jinsia yote, mwache atumie hai yake ya msingi
 
Mi nakushauri kampani yako iwe watoto. Usitafute presha zaidi. Wanaume hatutabiriki.

ushauri mzuri but naogopa kuwa mchepuko kwawaume zawatu na mwisho mzinzi maana upweke ni jaribu usiombe yakupate, bora nipate mume niepukane na dhambi ya uzinzi, pia naogopa kuchepuka mara huku mara huku, mwili ni dhaifu, samahani kama nimekukwaza
 
ushauri mzuri but naogopa kuwa mchepuko kwawaume zawatu na mwisho mzinzi maana upweke ni jaribu usiombe yakupate, bora nipate mume niepukane na dhambi ya uzinzi, pia naogopa kuchepuka mara huku mara huku, mwili ni dhaifu, samahani kama nimekukwaza

Una watoto wangapi? Kwa umri huo chances za kupata mme mbona ni kubwa sana au vigezo ndio complicated?
 
umri wangu 28, mwajiriwa serkaln, natafuta mume alie nawatoto pia tujenge familia, hata asiye nauwezo wakupata watoto, wanangu nina uwezo wakuwahudumia usihofu, ila upweke ndo unanisumbua, nilipenda nisikopendwa nikanyanyasika sana nikaamua kuachia wengine, ila sikufunga ndoa
Ni inbox
 
Mi mdogo kwako na sina kazi na natafuta kazi bado sasa kama shida ni mume ,nakidhi vigezo vyako?
 
Single dad's changamkieni fursa hiyoo.
Ukiwa single mom ni bora umpate single dad mwenzio, hapo maisha yataenda poa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…