BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 4,229
- 5,255
Hallo..
Heshima kwenu kwa kulea wanawenu bila babazao kujali, nampongeza mama yangu kwa ujasiri aliokuwa ameupata wa kunilea hadi hapa nilipofikia yaani daah. Nikiiona humu wanavyopewa majina mabaya huwa najisikia vibaya sana, kwa single mother wote humu JF msikate tamaa mtawafikisha watoto wenu pale mnapotaka wafike kuweni jasiri.
Mwenye kuweza kuweka wimbo wa clean bandit wa rockbye atakuwa amenisaidia sana kusindikiza salamu hizi.
Ahsante.
Heshima kwenu kwa kulea wanawenu bila babazao kujali, nampongeza mama yangu kwa ujasiri aliokuwa ameupata wa kunilea hadi hapa nilipofikia yaani daah. Nikiiona humu wanavyopewa majina mabaya huwa najisikia vibaya sana, kwa single mother wote humu JF msikate tamaa mtawafikisha watoto wenu pale mnapotaka wafike kuweni jasiri.
Mwenye kuweza kuweka wimbo wa clean bandit wa rockbye atakuwa amenisaidia sana kusindikiza salamu hizi.
Ahsante.