kumbe siku hizi bila kazi hapendwi mtu, nilikuwa sijui mdogo wenu kwamba mambo ya automatically true love yamepitwa na wakati,, kweli threads na vikao vya kusuruhisha ndoa hazitaisha, na nyumba ndogo demand haitaisha,,
Men's wapo after money, women nao after money sijui watoto wanaozaliwa watakuaje kama sio kuiuza danganyika kama presdaa mtembezi