Single ladies: Kwanini uko benchi mpaka leo?

Ninakuunga mkono kwenye hili. Wanawake wasipretend. Wasiwe wanafiki ili waolewe. Hapo nimeungana na wewe, maana wako wanaojifanya malaika, wakifika ndoani wanafichua makucha ya kishetani. Ishi uhalisia wako, ili umpate mtu atakayeweza kuendana na wewe.

But ushauri wangu kwa ladies ambao wangetamani kuolewa na bado haijawa hivyo. Badilika. Kama unadanga acha kudanga (kwa kumaanisha). Kama una mdomo chafu jifunze kuwa na staha unapoongea na watu, etc.

Kama unaamini katika Mungu, hebu iishi imani yako, halafu muombe akupatie mtu wa kufanana na wewe. Hii inaapply na kwetu wanaume pia. Tujue tu, vile ulivyo utapata mtu wa aina yako, huyo ndo atakufit maishani. Mungu hawezi kumchukua kondoo wake akamfungisha ndoa na fisi.

-Mkaskaz.
 
Hakika.
Mungu humpa Mtu wa kufanana nae
 
Mbona thread za kushambulia Wanawake zipo nyingi sana

Ukigeuka huku jua limezama, ukifungua hii umri wa kuringa mwisho 25, ukirudi huku hawaolewi.

Kila mtu anaishi maisha anayojisikia huwezi kumlazimisha mtu aolewe na mtu asiempenda
 
Mbona thread za kushambulia Wanawake zipo nyingi sana

Ukigeuka huku jua limezama, ukifungua hii umri wa kuringa mwisho 25, ukirudi huku hawaolewi.

Kila mtu anaishi maisha anayojisikia huwezi kumlazimisha mtu aolewe na mtu asiempenda
Waambie hao jamani
 
Mbona thread za kushambulia Wanawake zipo nyingi sana

Ukigeuka huku jua limezama, ukifungua hii umri wa kuringa mwisho 25, ukirudi huku hawaolewi.

Kila mtu anaishi maisha anayojisikia huwezi kumlazimisha mtu aolewe na mtu asiempenda
So wee unadhani hawajapata wanaowapenda siyo!?
 
Kuongea uhalisia wewe unatafsiri ni kushambulia eeh.. Sawa.
Mbona thread za kushambulia Wanawake zipo nyingi sana

Ukigeuka huku jua limezama, ukifungua hii umri wa kuringa mwisho 25, ukirudi huku hawaolewi.

Kila mtu anaishi maisha anayojisikia huwezi kumlazimisha mtu aolewe na mtu asiempenda
 
Sawa Mkuu tuko pamoja
 
Sasa hapa ndiyo umeongea hoja siyo kule kwenye ule uzi mwingine ulikosema kuwa wanawake ndiyo wana shida sana na ndoa na kwamba mwanamke kuolewa tu ndiyo heshima ila na mwanaume kuoa sijui ni nini
Mbona thread za kushambulia Wanawake zipo nyingi sana

Ukigeuka huku jua limezama, ukifungua hii umri wa kuringa mwisho 25, ukirudi huku hawaolewi.

Kila mtu anaishi maisha anayojisikia huwezi kumlazimisha mtu aolewe na mtu asiempenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…