Singida ni noma

Singida ni noma

MWAMPULE 88A

Member
Joined
Oct 19, 2014
Posts
6
Reaction score
1
Leo jiona kama mida ya sakumi nikaona juu ya anga kuna mawingu ambayo yaliambatana na upepo ambao ulikuwa na manyunyu ya mvua, watu walikuwa wanajianda kupokea baraka ya mvua kumbe ni baridi na upendo wa kutosha.
 
Mimi nilijua mkuu umetuwekea mapicha ya watoto wa kinyaturu na kinyiramba wakiwa wanaoga mtoni....tumalizie weekend vizuri...
 
Siku hizi mtu hata akiona panya anakula mahindi basi mbio anakuja kuandika hapa! Iq zetu ndio zimefikia hapo
 
Kama ndivo hivyo watanzania tunajieleza acheni wakenya waendelee kupata nafasi za kufundisha kiswahili ulaya!
 
Back
Top Bottom