Sina neno

Toka mwaka uanze soda zimeadimika...

Sijui ndiyo wanachambua ni chupa zipi zilizotumika...
 
Toka mwaka uanze soda zimeadimika...

Sijui ndiyo wanachambua ni chupa zipi zilizotumika...
Sukari ya viwandani ilikuwa haupatikani kabisa hivyo iliathiri sana uzalishaji wa soda na juisi.

Yani soda ilikuwa hadimu Christmas yote mpaka mwaka mpya
 
Yaani hizo soda za chupa sinywi tena

Ndio soda pekee OG. Genuine, hizi za plastic tunakunywa feki sana.

Ila kuna siku nimepiga maakuli fresh, kufika mwisho naona kitu cheupe kwenye chupa ya Pepsi, nikajua barafu. Ile namalizia kumbe ni bazoka ( Big G) iliyokua kwenye soda na imetafunwa.
Ilinichefua sana.
 
Duuh machupa hayaΓ²shwi vizuri haya, pole kama nakuona ulivyotamani kuitapika hiyo soda, wawe makini na afya za watu
 
Duuh machupa hayaΓ²shwi vizuri haya, pole kama nakuona ulivyotamani kuitapika hiyo soda, wawe makini na afya za watu

Nilishapoa ila nafsi ilitumbukia nyongo hatari.

Sijui kwanini naona kama watu wanatengeneza sana soda feki hasa hizi za chupa za plastic.
 
Khaa jamani

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Bora hizo mirinda angalau, hizo pepsi hapana aisee dah!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…