Fantastic!Wimbo wenye faraja na mafundisho tele..hakika umenigusa!!wimbo huu ni mahususi kwa rafiki yangu Inkoskaz
wamenitag
Asante sana ladyfurahia,,maneno mazuri sana ya faraja na ya matumaini!
Nimekuja nduki nikazani @ladyfurahia huna mtu kidogo niku recommend kwa bro wangu duh ........
Mkuu ladyfurahia ubarikiwe na bwana tena sana. Hiyo habari ya mtu wa kumtibulia maj birikani kwa mgonjwa kwa miaka 38 nilihubiriwa kwenye mkutano wa injili alhamisi.
Asee umeniinspire sana kama unanikumbusha maneno ya mchungaji alivokuwa anasema.
Namalizia kwa kusema una Yesu kristu. Kimbilio letu
Be blessd ladyfurahia.
Asante kwa injili isiyoghoshiwa. Pure gospel. Mungu azidi kukupa maneno ya hekima na ufunuo. Ubarikiwe.
Fantastic!Wimbo wenye faraja na mafundisho tele..hakika umenigusa!!
Wengi si rahisi kuguswa hadi yakukute aliyoyaimba ladyfurahia
Ubarikiwe
Bestito nichek kuhusu ile ishu iko poa sasa
maelezo mengi, afu nimekuwa mvivu kusoma, nimeshindwa kusoma asee
wamenitag
ladyfurahia Hivi Ladyf Ni Ndugu yako maana naona kama mnafanana vile
Bestito!
Sio kila tag lazima ujibu, ujue unanikata stimu usiku usiku eeeh!
Naaam!! unasemaje Bestito?
Nakujulia hali tu!
aiseeee nimeshirikisha ubongo hadi nimeelewa
Good message.