Sina hamu ya kupenda...


Pole sana lkn kwa upande mwingne mshukuru MUNGU angekuoa afu ikawa ivo ungeumia zaid move on sis utapata atakae kupenda kwa dhati,pliz usivunjwe moyo na wasiojua kupendwa...
 
Pole sana lkn kwa upande mwingne mshukuru MUNGU angekuoa afu ikawa ivo ungeumia zaid move on sis utapata atakae kupenda kwa dhati,pliz usivunjwe moyo na wasiojua kupendwa...

thnx myn ntafanya hivyo,nashukuru kwa ushauri yan angenitesa sana na nngejuta hadi basi.
 

thnk you so very much,ntafanyia kazi ushauri wako mpendwa.
 
Last edited by a moderator:
pole sana pety bt mwoneshee furaha ipo cku atakuomba msamaha na kutaka mrudiane anachokitafuta atajuta hawajui vizr wanawake. be hero on thak' ok?
 
Una uhakika huyo uliyempenda alikuwa ndiye chaguo ulilopewa na Mungu?
 
Life is full of many love opportunities, move on and with time u will find the one who will love u in the same way..Mpende akupendaye asiyekupenda achana nae.
 
Pole sana bibie,nimependa hiyo miguu yako kwenye avatar
 
Simama imara, usidhani uko peke yako, nyuma kuna jeshi kubwa, maisha ni kama kitabu, funga ukurasa fungua mwingine, siye yeye tu samaki kwenye mto.
 
Pole sana mdogo wangu, maisha ndo yalivyo. Hii post imeniumiza sana. Women will always be our heroes hasa kwasababu ya uvumilivu wenu!!!!!
 
Sasa preti diva umetendewa hivyo kwa wasio ma preti itakuaje
 
Wanawake wengi sana wanalalama kutendwa na watu waliowapenda na kuwathamini sana,napata shida mno kufaham sababu kuu ni yepi,je hao wanaume walikuwa na upendo wa dhati gradually ukapungua mpah to the lowest point ama ni pretenders with fake love(One cant pretend forever and for always)na ndio maana uhalisia wao unapobainika its already too late????pole sana bi dada hilo ni somo kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…