Sina bahati ya kupata mwanaume mwenye kipato, tatizo ni nini?

estlyjonathan

Member
May 26, 2016
84
122
Habari zenu,

Huwa najiuliza katika maisha yangu, mahusiano yangu yanakuwaga magumu sana pindi pale ninapopata mwanaume wa kuwa naye, yani sina bahati kabisa wa kupata mwanaume mwenye uwezo asilimia kubwa napata ambao hawana kitu yani vipato vyao vidogo sana sijui tatizo ni nini, na ukiaangalia binafsi namshukuru Mungu napata chochote kitu ila tatizo linakuja hapo tu.
 
"Usione vyaelea, vimeundwa"

"Behind every successful man there is a woman"

Una nguvu na uwezo wa kumfanya mwanaume awe nazo! Tengeneza mwanaume wako ili baadae akuthamini au angalau akushukuru.
Wachache wanapata ready made men!!! Ila wengi wanaanza pamoja from zero to hero. Ata ikatokea ukampata ambae hana kitu, ilimradi yuko physically able na mwenye nia na moyo wa maendeleo... Unaweza mshika mkono ukamuongoza na kumsapoti."
 
Back
Top Bottom