Simwelewi,ushauri tafadhali


Pole sana rafiki....but ndugu yangu some people are permanent residents in ur life while others are just passing through. It is important to know the different....
 
Hivi ukiwa na mtu kwenye relationship lazima muoane? hizi kesi ndo huwa nakumbana nazo kila kukicha kuna wengine unawapenda kuwa nao kimapenzi tu sio kuingia kwenye ndoa, ndoa dada sio ya kukurupuka eee, sio kila unaempenda anafaa kuwa mwanandoa
 
Mmhh... Wee hupendi kuoa?

Napenda sanaaaa kuoa lakini sipendi kulazimishwa au kupewa msukumo nioe. Napenda nimtamkie mwenyewe kutoka rohoni bila kutajiwa tajiwa mara kwa mara.
 
ukifikiria kuolewa utatembea r'ship nyingi cha muhimu muombe mungu la sivyo mama utakuwa taster ya vijana. usilazimishe ndoa coz si kila kijana na mumeo au mwanamke nso mkeo.
 
Pole sana rafiki....but ndugu yangu some people are permanent residents in ur life while others are just passing through. It is important to know the different....

asante ila namshukuru Mungu cuz ni yeye aliniwezesha kusahau na hivi sasa nipo ktk mahusiano mengine tena ila i dont feel secured, siunajua ukishang'atwa na nyoka tu ata ukisikia jani unashtuka?
 
Hebu wanawake tujifunze kuwa expensive.. hata kwny maandiko tumeambiwa tutii wao ndiyo watupende but siku hz tunapata ma heart break coz tunawapendaaaa na wanajua kabisa kuwa hatupindui kwao.. Tafuta maisha yako mami mume atakuja tu GOD's time is the best! ! Nishapita huko kwny kuumia nimejifunza.. Place a value on urself you are the daughter of the most high ambae kila kizuri kinatoka kwake atakupa mume mzuri utashangaa mtegemee yy tu..
 

Attachments

  • 1384028495535.jpg
    76 KB · Views: 82
Toka na speed 120 ,
au acha Power of Love i take control
 
get used and leave!!!! do you marriage is a simple like going to kariakoo and come back to your home? ..
 

Hiyo isikutishe!

Mpe mambo ya uhakika na instantly utasikia baby May I Love you!

Kwenye mamuzi ya ndoa wanaume sisi tunaishi kutokana na matukio tu hasa ya kitandani!
 
wee umekaa kimgegedo zaidi so endelea kupata raha ya utamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…