KIGODORO-01
Nlikuwa nimetoka kwenye harakati zangu za kutafuta riziki na muda huo ilikuwa Ni majira ya SAA 2 usiku
nikirudi getto kwangu maeneo ya kigogo, siku hiyo ilikuwa Ni ya bahati Sana maana mfukoni nilikuwa na
elfu 40 ,kitu ambacho haikuwa kawaida kupata ela ndefu kiasi hicho kwa siku moja.
.
.
Nilifika kwenye nyumba niliyopanga maana ilikuwa Ni uswahili , nilifika nikawakuta wapangaji wenzangu
wakiwa nje huku giza likiwa limetanda.
.
. “Eheeee Bora umekuja James maana tulikuwa tunakusubiri wewe “ ilikuwa Ni sauti ya sabra mpangaji
mwenye maneno mengi Sanaa na alikuwa akiishi mwenyewe , sabra alikuwa hana kazi zaidi ya kushinda
akiwa amelala ndani na sikujua pesa za kulipa Kodi alikuwa anatolea wapi maana muda wote alikuwa
anashinda ndani tu.
.
. “Ahaaaaa jamanii kwanini msinunue umeme Mimi nikija ningewapa ela yenu , Yani sabra kwelii mpaka
mnisubirie Mimi”
.
. “sasa wewe sindio wa kiume nyumba nzima uliobaki maaana mama mariamu mume wake ameenda
congo na Lori na kurudi Kama unavyojua Ni baada ya miezi mitatu”.
.
. “Ahaaaaa! Basi sawa sabra Mimi ntakuweza bac wewe mtoto wa kitanga , ila inabidi niwe na number
zenu za simu wapangaji wenzangu ili shida Kama hii ikitokea tuwasiliane kwa haraka zaidi ya kusubiriana
mpaka kila mmoja arudi”.
.
. “na siye tulikuwa tunangaa James una miezi 2 tangu huamie hapa ila huna hata number zetu jamanii au
ndio unaringa kisa wanawake wote hapa mtaani wanapagawa na u handsome wako???”.alikuwa Ni
subira mtoto wa kizaramo aliyekuwa akiongea huku akiwa amebinua kalio lake kubwa kwenye kigoda
kalio lililokuwa likipagawisha kila mwanaume mtaani .
.
. “Ahaaaaa!!! Subira maneno gani Sasa hayoo!!! Ngoja nianze kuchukua no. Zako kabisaa maana Mimi
siwawezi kwa maneno yenuu”.
.
.
Siku hiyo subira na sabra walinisema haswa wakati huo mama mariamu yeye alikuwa akiendelea
kuongea na mume wake kwenye simu , tulichangisha elfu 5 kwakila mpangaji Kisha tukanunua luku
tukaweka umeme , sikusahau kuchukua number za wapangaji wote kwaanzia subira , leyla na mama
Mariamu mmama aliyekuwa anasumbua mtaa kwa kuwa na bonge la kalio... ITAENDELEA
Nlikuwa nimetoka kwenye harakati zangu za kutafuta riziki na muda huo ilikuwa Ni majira ya SAA 2 usiku
nikirudi getto kwangu maeneo ya kigogo, siku hiyo ilikuwa Ni ya bahati Sana maana mfukoni nilikuwa na
elfu 40 ,kitu ambacho haikuwa kawaida kupata ela ndefu kiasi hicho kwa siku moja.
.
.
Nilifika kwenye nyumba niliyopanga maana ilikuwa Ni uswahili , nilifika nikawakuta wapangaji wenzangu
wakiwa nje huku giza likiwa limetanda.
.
. “Eheeee Bora umekuja James maana tulikuwa tunakusubiri wewe “ ilikuwa Ni sauti ya sabra mpangaji
mwenye maneno mengi Sanaa na alikuwa akiishi mwenyewe , sabra alikuwa hana kazi zaidi ya kushinda
akiwa amelala ndani na sikujua pesa za kulipa Kodi alikuwa anatolea wapi maana muda wote alikuwa
anashinda ndani tu.
.
. “Ahaaaaa jamanii kwanini msinunue umeme Mimi nikija ningewapa ela yenu , Yani sabra kwelii mpaka
mnisubirie Mimi”
.
. “sasa wewe sindio wa kiume nyumba nzima uliobaki maaana mama mariamu mume wake ameenda
congo na Lori na kurudi Kama unavyojua Ni baada ya miezi mitatu”.
.
. “Ahaaaaa! Basi sawa sabra Mimi ntakuweza bac wewe mtoto wa kitanga , ila inabidi niwe na number
zenu za simu wapangaji wenzangu ili shida Kama hii ikitokea tuwasiliane kwa haraka zaidi ya kusubiriana
mpaka kila mmoja arudi”.
.
. “na siye tulikuwa tunangaa James una miezi 2 tangu huamie hapa ila huna hata number zetu jamanii au
ndio unaringa kisa wanawake wote hapa mtaani wanapagawa na u handsome wako???”.alikuwa Ni
subira mtoto wa kizaramo aliyekuwa akiongea huku akiwa amebinua kalio lake kubwa kwenye kigoda
kalio lililokuwa likipagawisha kila mwanaume mtaani .
.
. “Ahaaaaa!!! Subira maneno gani Sasa hayoo!!! Ngoja nianze kuchukua no. Zako kabisaa maana Mimi
siwawezi kwa maneno yenuu”.
.
.
Siku hiyo subira na sabra walinisema haswa wakati huo mama mariamu yeye alikuwa akiendelea
kuongea na mume wake kwenye simu , tulichangisha elfu 5 kwakila mpangaji Kisha tukanunua luku
tukaweka umeme , sikusahau kuchukua number za wapangaji wote kwaanzia subira , leyla na mama
Mariamu mmama aliyekuwa anasumbua mtaa kwa kuwa na bonge la kalio... ITAENDELEA