Simulizi: Huyu ndio Janeth

Simulizi: Huyu ndio Janeth

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,756
Janeth ni mwanamke mwenye urembo wa asili lakini alikuwa anapendwa kwa rangi yake yangozi na sura ndogo ya raundi, macho yake ya kurembua, sauti ya kubembeleza kama kinanda. Umbo lake simple na linavutia kila idara, Janeth alikuwa mwanamke wa kila ndoto ya mwanaume. Tabia yake ilikuwa ninzuri aliheshimu kila mtu na kila rika ila tamaa ilimponza .

Alipata wanaume matajiri sana wanahela sanaaa alipata kila alichokuwa anaota , alikwenda kila nchi anayoitaka yeye bata zake sio za mzaa alikuwa anapendwa sana na huwa alikuwa anajaliwa sana na watu karibu yake. Na alikuwa anahudumiwa kila alichotaka hakuwahi kujua shida nini.

Kuna siku imekuwa giza kwake na majonzi yalianza kila kukicha natatizo ni upweke hakuna mwanaume anayetaka kuwa naye kijumla nikumpa tu cash na wanaondoka. Tofauti na hapo hakuna ndoa na hakuna anayetaka kuishi naye.

Tokea hapo akawa analia tu na kujiona hafai, anakunywa pombe sana, nakuanza kuwa na vijana warika dogo kila kukichaa mpaka sasa ndio life style yake. Akihitaji jambo anapata ila wakudumu naye hakuna kila mtu anasepa tu. Na ndio hivyo tamaa huishia pabaya kwa maana utabaki mwenyewe na kwa mwanadamu ni muhimu ukipata mwenza wa jumla.

Stay Safe
 
Ooh jamani very sorry Janeth,
Tuwekee picha yake tumuone
 
Una namba ya janeth niangalie namsaidiaje..

NB: Mi ni malaika mfariji.
 
Kama alikaa kuliwa liwa kwanini asiliwe liwe na watu kusepa



"Not everything is for everybody"
 
Niseme ukweli tuu sijasoma mada husika,
Jukumu langu kusoma reply.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom