Simulizi fupi Jumba La laana

Daudi1

JF-Expert Member
Dec 14, 2013
8,799
8,705
SEHEMU YA KWANZA
Simulizi: JUMBA LA LAANA (01)
Mtunzi: Kalmas Konzo
Simu: 0744 970447

“Hodi hodi wenyewe!”. Nilizidi kuligonga geti la jumba hili huku nikiipaza sauti yangu pasi kupata majibu.
“Jamani wenye nyumba hodiiiiiii!”. Niliendelea kubisha hodi pasipo kukata tamaa.
Sikutaka kukata tamaa kabisa kwani niliamini ya kwamba wakazi wa jumba hili la kifahari ni lazima watakuwepo ndani tu.
Pia nilikuwa nimekwishachoka kwa mida hii ya jioni kwani nilikwishazunguka sana katika viunga vya jiji hili la Kano mchana kutwa pasi kufanikiwa kwa matakwa yangu.
Nilikuwa nikijiandaa kuligonga geti la jumba lile la kifahari kwa mara nyingine tena lakini nikasita mara baada ya kusikia mlio wa geti kujulisha kwamba kuna mtu ambaye alikuwa akilifungua.
Baada ya geti kufunguliwa, macho yangu yalipigwa na bumbuwazi na kubabaika kwa sekunde kadhaa huku nikijilambalamba midomo yangu.
Mbele yangu alisimama mama mmoja wa makamo ambaye alikuwa na uzuri na urembo usiomithilika.
“Shikamoo mama!”. Ilinitoka salaamu hii katika kinywa changu.
“Eeee bwana eeeeh! Acha kunizeesha!”. Alijibu mama yule mrembo wa makamo mara baada ya kuushusha msonyo mkali sana wa dharau.
“Naomba radhi kwa hilo”. Niliamua kuwa mpole na kuomba radhi baada ya kugundua kwamba huyu mama alikuwa na dharau sana.
“Haya sema shida yako upesi maana wanitia kinyaa”. Yule mama aliongea huku akiibinua midomo yake kwa dharau.
“Samahani, shida yangu ni kwamba ninatafuta kazi”. Niliongea kwa woga kidogo.
“Ha ha ha haaaaaaa! Hebu rudia tena”. Yule mama aliongea mara baada ya kukishusha kicheko kikali.
“Nimese …..se….sema naomba kazi”. Nilirudia kauli yangu lakini sasa hivi ni kwa kubabaika sana.
“Enheeeeeeeee! Wataka kazi gani wewe?”. Yule mama aliuliza.
“Kazi yoyote mama yangu”.
“He! Wewe nishakuambia usinizeeshe. Hivi ni kwa nini husikii?”. Yule mama alilalama.
“Naomba radhi kwa hilo”. Niliongea.
“Haya hebu jitazame toka juu mpaka chini. Hivi unaona ya kwamba wewe una hadhi ya kupata kazi katika nyumba hii?”. Mama alihoji.
Nilijitazama toka juu mpaka chini kama nilivyotakiwa. Niligundua kwamba nilikuwa sistahili kabisa hata kulisogelea jumba hili.
“Mama mpe kazi”. Ilikuwa ni sauti tamu na nyororo iliyofuatiwa na mrembo wa haja ambaye alikuwa na uzuri wote mithili ya malaika.
Moyo wangu ulipigwa na butwaa kwani katika maisha yangu sikuwahi kumwona mwanamke mzuri kama huyu. Niliamini kwamba hakika nyumba hii ilibarikiwa kuwa na wanawake warembo sana.
“Unasemaje Catherine?”. Yule mama alihoji.
Hapo ndipo nilitambua kwamba yule mrembo uliotukuka mithili ya malkia wa Sheba mbele yangu alikuwa akiitwa Catherine.
“Tumwajiri mama kwani yule kijana wa kuhudumia maua ameacha kazi na mazingira yameanza kuwa mabaya”. Catherine aliongea kwa kujiamini.
“Sasa na uchafu wake huu mithili ya nguruwe pori tutamlaza wapi?”. Yule mama alihoji kwa dharau ambayo ilimfanya nitiririkwe na machozi.
“Sehemu ya kulala itapatikana tu”. Catherine alizidi kunitetea niajiriwe.
“Haya basi mimi nakuachia huyo nguruwe. Namna ya kumhudumia utajua wewe. Na asithubutu kuingia sebuleni asije akatia shombo”. Mama Catherine aliongea huku akiondoka na kumwacha nikiwa na Catherine.
“Pole sana. Msamehe sana mama yangu kwani hivi ndivyo alivyo”. Catherine aliongea na kunishika mkono na kuingia ndani bila kujali hali ya ufukara niliyokuwa nayo.
Nilishangaa sana pindi nilipoingia ndani ya jumba lile. Lilikuwa ni jumba safi na nadhifu sana ambalo katu katika maisha yangu sikuwahi kuingia.
“Ama kweli watu wanaishi kama wako paradiso”. Niliwaza moyoni mwangu.
“Haya ndiyo maua ambayo utakuwa ukiyahudumia. Hakikisha kwamba hayanyauki”. Catherine aliongea akinionyesha mazingira huku akiwa amenipokea mzigo wangu.
“Na hiki ndicho kitakuwa chumba chako cha kulala. Choo na bafu viko humohumo ndani”. Catherine aliongea.
“Kwa sasa nenda kaoge kisha upumzike”.
“Ahsante sana Catherine”. Niliongea kumshukuru Catherine.
Kuna kitu kilimshtua Catherine katika sauti yangu. Ilikuwa ni sauti tamu ambayo ilikuwa na mvuto nadhifu sana. Alipenda jinsi nilivyolitamka jina lake.
“Usijali kaka. Sijui waitwa nani vile?”. Catherine alihoji.
“Mimi naitwa Ibrahim”.
“Ok, Ibrahim, tutaonana baadaye”. Catherine aliongea.
“Ok, usijali dada Catherine”. Nilijibu huku nikimtazama Catherine ambaye alikuwa akiondoka kwa mwendo wa pozi sana.
Mimi niliingia ndani ya ile chumba ambacho nilielekezwa kwamba kitakuwa ndicho chumba change. Nililiweka begi langu ndani ya kabati la nguo na kisha nikakaa na kuishusha pumzi moja ndefu ya furaha ambayo ilichanganyikana na kukata tamaa.
“Hivi kweli nitayaweza maisha ya hapa maana yule mama mwenye nyumba anaonekana ni mshari sana”. Niliyapitisha mawazo hayo huku macho yangu nikiwa nimeyaelekeza juu ya dari.
“Lakini huyu Catherine anaonekana ni mtu mzuri kabisa mwenye moyo wa huruma kwani bila yeye kazi hii nisingeipata. Itanibidi nifanye kazi kwa bidii ili kuwafurahisha hawa waajiri’. Niliendelea kuwaza.
“Ngoja niende kuoga ili niuondoe uchovu pamoja na mawazo niliyonayo”. Niliwaza hayo huku nikisimama na kuelekea katika bafu lililokuwa mle ndani.
Baada ya kuoga na kujipaka mafuta nilijilaza juu ya kitanda na kupitiwa na usingizi kutokana na uchovu mkubwa niliokuwa nao.
*****************
Tukutane katika sehemu ya 02 ya kisa hiki cha kusisimua
 
SEHEMU YA PILI
Simulizi: JUMBA LA LAANA (02)
Mtunzi: Kalmas Konzo
Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA
“Ngoja niende kuoga ili niuondoe uchovu pamoja na mawazo niliyonayo”. Niliwaza hayo huku nikisimama na kuelekea katika bafu lililokuwa mle ndani.
Baada ya kuoga na kujipaka mafuta nilijilaza juu ya kitanda na kupitiwa na usingizi kutokana na uchovu mkubwa niliokuwa nao.
SASA ENDELEA
Nilishtushwa kutoka katika usingizi mzito niliokuwemo kutokana na sauti ya mlango uliokuwa ukigongwa. Nilikurupuka kifua wazi na kwenda kuufungua mlango ule.
Nje kulikuwa na mwanga ambao ulitokana na taa za umeme. Hii ilijulisha kwamba kiza kilikuwa kimeingia. Pia ilimaanisha kwamba nilikuwa nimelala kwa muda mrefu toka nilipokuwa nimetoka kuoga.
Macho yangu yalipigwa na butwaa baada ya kukutana na msichana mzuri na mrembo ambaye baadaye nilikuja kufahamu kwamba alikuwa ni mtumishi wa ndani na jina lake aliitwa Lydia.
Yaani niliishangaa sana nyumba hii kwa kubwarikiwa kuwa na wasichana warembowarembo tu. Yaaani ilikuwa mithili ya jumba la kifalme ambalo limepambwa na wanawali wengi warembo.
Macho ya Lydia ambaye alikuwa ameshika sinia lenye hotpots na sahani yalitua katika kifua change. Nilikuwa na kifua chenye mvuto ambacho kilikuwa kimejazia kimazoezi. Lydia alijilamba midomo kwa matamanio huku macho yake yakiwa yamejawa soni.
“Dada Cathy kanambia nikuletee chakula”. Lydia liongea kwa sauti yenye mvuto wa kuweza kumtoa nyoka pangoni.
“Ahsante sana nashukuru”. Nilimjibu Lydia kwa sauti ambayo ilimvutia sana na kumfanya afunge macho kwa raha.
“Naitwa Lydia”. Aliniambia pindi akinikabidhi chakula.
“Ahsante sana. Nashukuru kukufahamu. Mimi naitwa Ibrahim”. Nami nilimjibu Lydia.
“Ahsante Ibrahim. Karibu sana”. Lydia alijibu huku akiondoka na kunirembulia macho.
Nilimtazama kwa nyuma Lydia na kujilamba midomo yangu. Alikuwa na makalio makubwa kiasi ambayo yalikuwa yakitetemeka pindi alipokuwa akitembea. Kiuno chake kilikuwa ni chembamba ambacho kilimwongezea urembo usio kifani.
Niliingia ndani pamoja na kile chakula ambacho nilikuwa nimepewa. Nilikiweka juu ya meza moja ndogo iliyokuwamo katika chumba kile. Niliyafunua mabakuli yale na kukutana na chakula kizuri sana ambacho kilinipa hamu kunwa sana ya kula.
Ulikuwa ni wali uliotoa harufu nzuri sana. Bakuli jingine lilikuwa limesheheni nyama za kuku ambazo nazo zilinitoa udenda. Nilikwishasahau kwa mara ya mwisho nilikula lini chakula kama hiki.
Sikutaka kuupoteza muda hata kidogo. Nilikivamia kile chakula na kuanza kukishughulikia. Nilikula mpaka pua zangu zikatoa jasho kuonesha kwamba nilikuwa nimeshiba sana. Kwa wakati huo pia tumbo langu lilikuwa limejaa ndiiii! huku midomo yangu ikisaidia kubeua kwa shibe.
*************
Kesho yake nilijihimu alfajiri ya saa kumi na moja na kuanza kuyashughulikia maua ambayo yalikuwa katika hali mbaya kabisa. Niliyalisha maji ya kutosha. Kisha nikaanza kuyatifulia ili kuondoa magugu.
Kufikia saa moja na nusu ya asubuhi maua yote yalikuwa yakipendeza kwa kupewa maji na kuondolewa magugu.
Baada ya kumaliza kazi hii ambayo ilinitoa jasho, sasa nikaanza kuufagia uwanja wote wa nyumba ile ambao nao ulisahauliwa katika kufanyiwa usafi.
Baada ya kumaliza kuufagia, nilichukua jembe na fyekeo na kutoka nje ya jumba lile. Nikaanza kufyeka majani na kukwangua mengine. Shughuli hii ilinichukua mpaka saa sita na nusu. Jumba lote sasa lilikuwa linang’ara kwa usafi.
Baada ya kujihakikishia kwamba nimeyatimiza majukumu yangu vema, nikachukua vifaa vyangu vya kufanyia usafi na kuanza kurejea ndani. Na kwa wakati huo nilikuwa katika mapigo ya singlend na suruali aina ya tracksuit.
“Ibrahim, umefanya kazi yote hii?”. Ilikuwa ni sauti ya Catherine ikinilaki mara baada ya mimi kuingia katika geti kubwa la kuingilia jumba lile.
“Mh! Mbona kawaida tu”. Nilimjibu Catherine kwa sauti yangu ile nzito yenye mvuto.
“Duh! Yaani jumba lote saa hizi linang’ara. Hongera sana Ibrahim”.
“Usijjali dada Cathy, ngoja mimi nikaoge”. Nilimwambia Catherine ambaye sasa macho yake yalikuwa yametua katika kifua change na alijilamba ulimi kwa matamanio.
“0k, vipi umekwishakunywa chai?”. Catherine aliniuliza.
“Hapana sijanywa bado kwani toka niamke alfajiri nimekuwa nimetingwa na kazi” Nilimjibu Catherine.
“Oooh! Jamani, pole sana. Lydiaaaaaa….!”. Catherine aliita.
“Abeeee! Dada”. Lydia aliitika toka ndani.
“Hebu mwandalie kaka chai”. Catherine aliongea.
“Sawa, naileta sasa hivi”. Lydia alijibu tena toka ndani.
Mimi nilienda kuviweka vile vifaa vya usafi mahali ambapo panatakiwa kisha nikaenda ndani kwangu kwa lengo la kuoga.
**************
Muda uliendelea kusonga mbele huku nami nikiwa sasa nimeyazoea mazingira ya jumba hili kwa kiasi kikubwa. Niliyabadilisha mazingira yale na kulifanya jumba ling’are kwa unadhifu.
Jambo ambalo lilikuwa likinishangaza katika jumba hili ni kwamba, toka nimefika yapata mwezi sasa sijawahi kumwona baba mwenye nyumba. Sikutaka kulihoji hili kwani lilikuwa halinihusu hata kidogo. Niliendelea kuchapa kazi.
Damu yangu na mama yake Catherine naona haikupatana kabisa. Kwani kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo ambavyo alizidi kunichukia. Sikufahamu kwa nini kwani mimi nilikuwa ni kijana mpole nisiyependa makuu na mtu yeyote.
“We mwehu, hivi kwa nini umekaa hapa? Ina maana umekosa kazi za kufanya”. Mama Caherine aliongea siku moja pindi aliponikuta nimekaa katika bustani ya maua ya jumba lile.
Wakati huo ilikuwa ni mchana na kwa kuwa nilikuwa nimekwisha maliza kazi zangu, niliona ni bora nijipumzishe kidogo pale bustanini kwa kupunga upepo.
“Nimekwishamaliza kazi zanu mama!”. Nilimjibu yule mama huku nikiwa nimeshtuka kweli.
“Hautakiwi kukaakaa kizembe humu ndani. Hebu chukua ufagio na anza kufagia uwanja”. Yule mama aliongea.
“Nilikwishafagia uwanja wote na pia bado ni msafi kama unavyouona mama”. Nilimjibu yule mama.
“Ina maana wewe unabishana na mimi eeeh!? Halafu nilikwishakukukataza kuniita mimi mama. Usipende kunizeesha”. Yule mama alibwata.
“Nisamehe sana”. Nilijibu huku nikisimama na kwenda katika banda la kuhifadhia vifaa vya kazi. Nikauchukua ufagio na kisha nikaanza kufagia.
***********
“He, Catherine hii nyumba mbona siku hizi inang’ara sana?”. Ilikuwa ni sauti nzito ya kiume ikiunguruma asubuhi hii ya leo.
Kwa wakati wote huu mimi nilikuwa bustanini nikiwa nimetingwa na umwagiliaji wa maua. Nilikuwa naipenda sana kazi yangu hii na niliifanya kwa dhati.
“Kuna kijana tumemwajiri ambaye anatusaidia kazi hizi za usafi wa mazingira baba”. Catherine alijibu.
“Naweza kumwona maana yaonesha ni kijana mchapakazi sana”.
“Ndio baba. Ngoja nikupeleke. Yuko kule bustanini”.
Catherine na yule mzee waliongozana mpaka kule bustanini ambako nilikuwa nikifanya kazi ya kuyalisha maua chakula chake.
“Habari yako kijana?”.
“Mziri tu mzee wangu. Shikamoo”. Niliitoa salamu ya unyenyekevu iliyojaa staha kubwa.
‘Ninaitwa mzee Chitenge. Ndiye baba mwenye nyumba hii”. Aliongea yule mzee wa makamo.
“Ahsante sana. Nashukuru kukufahamu. Mimi naitwa Ibrahim”. Nami nilijitambulisha kwa yule mzee.
“Mazingira ya kazi unayaonaje?”. Mzee Chitenge aliuliza.
“Yako vizuri kabisa mzee wangu. Hakuna tatizo lolote”. Nilijibu.
“Kama kuna tatizo usisite kututaarifu”. Mzee Chitenge aliongea.
“Usijali mzee wangu”. Nilimjibu.
“Ok, karibu sana na nikuache uendelee na kazi”. Aliongea mzee Chitenge.
“Ahsante sana. Nashukuru mzee wangu”. Nilijibu.
Mzee yule aliondoka na Catherine huku wakiendelea kuongea mawili matatu kwa furaha na bashasha.
Huyu mzee alionekana ni mzee mkarimu ingawa nilikuwa sijapata kumfahamu hapo kabla. Nilihisi hivyo kutokana na upole na ucheshi wake. Niliifurahia tabia ya huyu mzee.
***********
Tukutane katika sehemu ya 03 ya kisa hiki cha kusisimua
 
SEHEMU YA TATU
Simulizi: JUMBA LA LAANA (03)
Mtunzi: Kalmas Konzo
Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA
Mzee yule aliondoka na Catherine huku wakiendelea kuongea mawili matatu kwa furaha na bashasha.
Huyu mzee alionekana ni mzee mkarimu ingawa nilikuwa sijapata kumfahamu hapo kabla. Nilihisi hivyo kutokana na upole na ucheshi wake. Niliifurahia tabia ya huyu mzee.
SASA ENDELEA
“Hivi hili gari lina nini leo, mbona linagoma kuwaka?”. Ilikuwa ni sauti ya mama Catherine akilalama na wakati huo nami nilikuwa nikitoka katika chumba changu.
Wakati huohuo Catherine naye alikuwa akitoka ndani kuja upande huu wa maegesho ya magari na kumshuhudia mama yake akiwa ameghafirika sana.
“Mama nini tena? Mbona walalama peke yako?”. Catherine alimhoji mama yake.
“Si hili gari!”.
“limefanyaje?”.
“Yaani linagoma kuwaka. Halafu ninachelewa kwenye kikao cha send off ya binti Fuad. Na ukichukulia mimi ndiye mwenyekiti wa kamati ndo nazidi kuchanganyikiwa”. Mama Catherine aliongea huku akiwa amejawa presha.
“Samahani, naweza toa msaada?”. Niliuliza huku nikijongea walipo wanandugu hawa ambao ni mama na mwana.
“Wasema nini wewe nguruwe. Hebu niondolee shombo yako hapa”. Mama Catherine alifoka kwa hasira kwani alihisi nilikuwa nikimdhihaki.
“Jamani mama! Ndo maneno gani hayo?”. Catherine aliongea akiwa ameudhika na maneno ya mama yake.
“Usijali Cathy, ni kawaida tu. Naomba niwasaidie”. Niliongea sasa nikiwa nimelikaribia gari.
“Sasa nawe Catherine mambo mengine uwe unayapima hata kwa kuyatazama tu. Hivi huyu mporipori toka shamba na magari wapi na wapi?” Mama yule aliongea kwa dharau huku akiibinua midomo yake.
“Huwezi jua mama. Usimuhukumu mtu kwa kumtazama”. Catherine aliongea.
Mama Catherine alibaki kimya huku akiniangalia kwa dharau ya hali ya juu. Yaani nahisi alitaka hata kutapika maana huyu mama alikuwa akiniona tu huwa anashikwa na kichefuchefu.
“Tusaidie tu Ibrahim”. Catherine aliongea.
Nililiendea lile gari na kuufunua mfuniko wa mbele ambao unafunika mahali panapokaa injini. Kwa lugha ya kawaida linaitwa boneti.
Baada ya kuchunguza kidogo nikagundua tatizo ambalo lilikuwa linasababisha gari lile kutokuwaka. Kuna waya unaotoa moto kutoka kwenye betri kwenda kwenye injini ulikuwa umekatika.
Niliuunga na kisha nikaenda kwenye swichi ya gari. Nikaliwasha na gari likaitika.
Catherine alitoa tabasamu la ushindi. Yule mama alibaki ameduwaa asiamini kile ambacho kilikuwa kimetokea. Aibu na mshangao vyote vilikuwa vimemkaa kwa pamoja.
“He! Kwani wewe unayafahamu haya magari?”. Mama Catherine alishindwa kujizuia na akaniuliza.
“Si kuyafahamu tu bali mimi ni fundi mzuri wa magari”. Nami niliamua kujitapa mbele ya yule mama mwenye dharau kwani niliona ya kwamba leo nilikuwa nimemwezea.
“Mh! Ahsante sana”. Mama Catherine alishukuru kwa kunipa mkono.
“Usijali”. Nilijibu kwa kifupi.
Mama Catherine aliingia ndani ya gari. Aliliwasha na kuondoka kisha akatuacha mimi na Catherine tukiendelea kufanya mazungumzo ya hapa na pale kwani kwa sasa Catherine alikuwa ni mtani na rafiki yangu mkubwa.
***************
Hali ya hewa leo ilikuwa ni ya joto kali sana katika jiji zima la Kano. Hali hii ilikuwa inawakera sana wakazi wa jiji hili. Wengi walikuwa wakijaribu kupambana na joto hili kwa kutumia feni kwa wale wenye nyumba zenye umeme.
Kwa wale wenzangu na mimi ambao nyumba zao hazikuwa na umeme, hawa walipata shida sana. Wao walikuwa wakitupia mikono na vipande vya magazeti katika kujipepea.
Kwa upande wa wakati ilikuwa ni saa tisa alasiri. Mimi nilikuwa nimeusindika mlango wa chumba change na kujilaza kitandani huku nikiwa nimeifungua feni mpaka spidi ya mwisho kabisa. Na pale kitandani nilikuwa nimejilaza kama nilivyozaliwa ili feni liweze kunipepea vizuri katika maungo yote ya mwili wangu.
Ghafla kausingizi mwanana kalianza kuninyemelea. Kausingizi haka kalisababishwa nautamu wa upepo ambao ulikuwa ukitoka katika feni lile ambalo lilikuwa limetundikwa juu ya chumba kile. Baada ya muda nikatumbukia katika usingizi kamili.
Nikaanza kujiwa na njozi tamutamu na za kila aina. Niliota nimeokota burungutu la pesa. Mara nikaota nimekuwa mwanasiasa. Mara nikaota nimekuwa fisadi. Halafu tena nikaota nimekuwa 50 cent naimba kumshinda hata yeye.
Ni ndoto hii ya sasa ndiyo ambayo ilikuwa inanivutia na kunifanya nitabasamu nikiwa usingizini. Niliota niko na mpenzi wangu ambaye nilikuwa simjui na tulikuwa tuko chemba tukiyafurahia mahabat motomoto.
Mpenzi wangu huyu alikuwa amemshikilia mjomba na alikuwa akimsukasuka kwa mikono yake laini. Mjomba alisisimka haswa na kusimama mithili ya muhogo mkavu. Mpenzi wangu alizidisha kumsukasuka na kunifanya nisisimkwe mwili mzima. Hali hii ilinifanya usingizi unitoke na kufumbue macho taratibu.
Tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
**********
Tukutane katika sehemu ya 04 ya kisa hiki cha kusisimua
 
SEHEMU YA NNE
Simulizi: JUMBA LA LAANA (04)
Mtunzi: Kalmas Konzo
Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA
Mpenzi wangu huyu alikuwa amemshikilia mjomba na alikuwa akimsukasuka kwa mikono yake laini. Mjomba alisisimka haswa na kusimama mithili ya muhogo mkavu. Mpenzi wangu alizidisha kumsukasuka na kunifanya nisisimkwe mwili mzima. Hali hii ilinifanya usingizi unitoke na kufumbue macho taratibu.
Tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
SASA ENDELEA

Sikuyaamini macho yangu kwa kile ambacho nilikuwa nikikishuhudia. Niliruka kutoka kitandani na kuanza kuzitafuta nguo zangu ambazo nilikuwa sizioni.
“Mambo Ibrahim”. Alikuwa ni Catherine ambaye sasa alikuwa amesimama huku akiwa amezishikilia nguo zangu akizichezea.
Mwili wangu ulikosa nguvu kabisa na kwa wakati huo mikono yangu ilikuwa imeziba yale maeneo ambayo mjomba alikuwa akipatikana.
“Wazitaka hizi?”. Aliongea Catherine huku akinioneshea zile nguo.
“Cathy, kwa nini wafanya hivi?”. Nilipata ujasiri wa kumuhoji Catherine.
“Kwani kuna nini cha ajabu Ibrahim?”.
Kumbe kwa wakati huu wote nilipokuwa nikiiota ndoto hii tamu ya mjomba kuchezewa, basi mjomba alikuwa akishughulikiwa kiukwelikweli na Catherine. Haikuwa ruya.
Catherine aliweza kuingia mle ndani kwa sababu mlango nilikuwa nimeusindika tu. Niliusindika bila ya kuufunga kwa sababu ya joto kali la siku ile. Pia sikuhofu chochote kwani hakuna mtu yeyote ambaye alikuwa na mazoea ya kuingia kwangu pasi kubisha hodi.
Catherine alikuja mpaka mahali ambapo nilikuwa nimekaa na kunikumbatia. Chuchu za kifua chake zilinigusa na kunifanya nisisimke sana.
“Ibrahim nakupenda sana. Naomba nikukaribishe moyoni mwangu na utamalaki”. Catherine aliongea kwa sauti ambayo ilikuwa imejaa mahaba tele.
“Lakini Catherine, wewe huwezi nipenda mimi?”. Niliongea huku nikijaribu kumpapatua kutoka mwilini mwangu kwa nguvu kidogo nilizokuwa nazo kwa wakati ule.
“Kwa nini?”. Catherine alihoji.
“Ni hatari”. Nilimwambia.
“Acha ushamba bwana. Mbona wataka kukimwagia kitumbua mchanga”. Catherine aliyaongea maneno hayo huku mikono yake ikimchezea mjomba ambaye sasa alikuwa amesimama tisti balaa tayari kwa mashambulizi.
Sasa nikaona huyu mrembo hawezi toka humu ndani bila ya kukipata kile ambacho anakitaka. Nikaamua nimpe harakaharaka ili aondoke kwani nilikuwa naogopa sana kufumaniwa na mama au baba mwenye nyumba.
“Mjomba wako ni mkubwa na mzuri sana. Hakika nimempenda”. Catherine aliongea huku akinisukumia kitandani na kunifanya nilale chali. Alinifuata pale na kuendelea kumchezea yule mjomba kwa staili zote ambazo alikuwa akizijua.
Nami kwa wakati huo nikaamua kumtolea uvivu. Nikaanza kuzichezea taratibu nywele zake laini na za kupendeza. Catherine akahisi kama anatembewa na wadudu mwilini. Akapanda na kuniletea kinywa chake nami bila ya hiana nikakipokea na tukaanza kunyonyana ndimi zetu.
Kwa wakati wote huo mkono wangu wa kushoto ulikuwa umekishikilia kiuno chake huku mkono wangu wa kulia ukizichezea chuchu za maziwa yake taratibu.
Nikamchojoa nguo zote na akabaki kama alivyozaliwa. Dah! Hakika mrembo huyu alikuwa mtamu aisseh!. Yaani alikuwa na mwili laini na ngozi nyororo. Umbile lake sasa lilinifanya nidondokwe na udenda huku mjomba naye akikohoa.
Catherine alianza kutoa mguno wa mahaba huku sasa akijinyonganyonga. Joto la mwili wake likawa limepanda mpaka likawa linaniunguza na nadhani angewekwa sufuria ya maji basi yangeweza kuchemka.
Nikamgeuza na kumlaza chali. Mikono yangu ikaendelea na upekuzi wa kupapasa hapa na pale taratibu na kwa uangalifu. Hatimaye nikaenda mpaka nikafika katika boma lake.
Nikapachezea mdundiko pale bomani kwa ustadi mkubwa sana. Catherine alilia kwa raha na furaha ya hali ya juu.
“Ib….. r …. ahim … mmmmm! Hapohapo mpenzi wangu!”. Catherine alisisitiza kwamba niendelee kucheza mdundiko wangu palepale bomani.
“Oooh! Aaaaaah! Ibraaaaahim! Ni ….. ni ….iiiipe please!”. Catherine aliomba apewe dawa yake ya kuutuliza ugonjwa wake wa huba.
Nikaanza kumpa haki yake. Nilikuwa nimejaliwa mjomba mkubwa balaa ambaye alimkuna Catherine siku ile kisawasawa. Nilimpelekesha mputaputa jambo ambalo hakulitarajia kwani alidhani kwamba mimi ni mshamba wa kutoka pori.
Mpaka tunamaliza mechi yetu Catherine alikuwa hoi kwa raha aliyoipata. Jasho lilikuwa likimtiririka balaa.
“Ibrahim ahsante sana. Hakika wewe ni mwanamke wa shoka”. Catherine aliongea na kunipiga busu mwanana.
“Usijali kwani nawe u fundi sana”. Nami nilimsifia kwani naye alikuwa amenipa raha isiyo kifani.
“Basi mimi ngoja niende. Nakupenda sana Ibrahim mpenzi”. Cathrine aliongea huku akiinuka na kuzivaa nguo zake tayari kwa kuondoka.
“Poa mpenzi nami nakupenda pia”. Nilijikuta namjibu hivyo.
Ni kweli nilimpenda Catherine baada ya leo kunipa mambo matamu sana ambayo yalinipa raha haswaaaaa!
Catherine alinijia na kunibusu mara baada ya kuvaa nguo na kisha akaondoka mle chumbani na kuniacha nikiwa hoi na mwenye furaha kubwa. Sikuamini kabisa kile ambacho kilikuwa kimetokea muda mfupi uliopita.
***************
Mapenzi kati yangu na Catherine yalikuwa yameanza taratibu na kukua kwa kasi mithili ya moto ulao nyasi. Yalikuwa ni mapenzi ya siri sana ambayo hatukupenda mtu yeyote aweze kugundua na kutuharibia.
Sasa Catherine akawa amekufa na kuoza kwa mahaba ya dhati juu yangu. Kwa sasa nikawa Napata huduma bora sana toka kwa Catherine kuanzia chakula mpaka mavazi. Kwa sasa nilianza kung’ara na umaridadi wangu ukaanza kuonekana katika macho ya wengi ndani ya jumba lile.
Sasa nikajiona kama ni mwanaume mwenye bahati kuliko wanaume eote duniani. Nilikuwa nina kila hali ya kujisikia vile kwani kupendwa na mrembo kama Catherine lilikuwa si jambo dogo.
Catherine alinipenda sana na kwa asilimia mia moja. Nami nikaamua kuongeza utundu katika kumpa mahaba jambo ambalo lilizidi kumchanganya sana Catherine. Mrembo huyu aliamua kuhakikisha kwamba ananilinda kwa kila hali ili nisiporwe na mwanamke mwingine.
*************
Leo kulikuwa na tofauti kubwa sana katika jumba hili. Catherine, mama yake na baba yake walikuwa wameondoka kwenda matembezi kidogo. Katika jumba hili tulikuwa tumebaki watu watatu tu yaani mlinzi, mimi pamoja na mtumishi wa ndani aitwaye Lydia.
Jumba lilikuwa tulivu kabisa. Sauti ya muziki mwanana ilikuwa ikisika ndani ya jumba lile. Nadhani muziki huu ulikuwa ukisikilizwa na Lydia.
Mimi kwa wakati wote huo nilikuwa nimejipumzisha ndani ya chumba changu mara baada ya kumaliza kazi zangu za kuyahudumia mazingira ya jumba lile.
Ghafla nilisikia mlango wa chumba change ukigongwa kwa utaratibu utadhani mgongaji alikuwa akihofu kwamba atauharibu mlango ule kama angeliugonga kwa nguvu.
Niliamka na kwenda kuufungua ule mlango ili niisikilize shida ya yule mgongaji. Nilikuwa nikifahamu fika kwamba mgongaji wa mlango alikuwa ni Lydia kwani katika jumba lile tulikuwa tumebaki watu watatu tu yaani mimi, Lydia na mlinzi.
Jambo ambalo nilikuwa silifahamu ni kwamba Lydia alikuwa na shida gani nami kwa wakati huu. Hali hii ndiyo ambayo ilinisikuma niende kuufungua mlango na kumsikiliza.
Nilipoufungua mlango, macho yangu yalikutana na vioja vya mwaka. Lydia alikuwa amesimama mbele yangu huku akiwa amejipura ipasavyo mithili ya jinni.
Jambo jingine lililonishangaza ni kwamba Lydia alikuwa katika vazi la khanga laini ambayo ililichora ipasavyo umbile lake. Mwili wangu ulisisimuka kwa matamanio ya huba.
“Vipi Lydia?”, Nilimwuliza huku nikiwa nimemtolea macho ya husuda.
“Jamani Ibrahim, naomba niingie ndani nd’o nikueleze shida yangu”. Lydia aliongea huku akijisukuma kuelekea ndani ya chumba changu.
“Vipi Lydia mbona sikuelewi?”. Nilimwuliza Lydia mara alipokuwa tayari kaingia ndani.
“Sasa hunielewi nini Ibrahim. Mimi nakupenda na nahitaji penzi lako”. Lydia aliongea jambo ambalo lilinishtua.
“Unasemaje Lydia?”. Nilimwuliza huku macho nikiwa nimeyatoa kwa mshangao.
“Sasa kuna jambo ambalo hujalisikia hapa Ibrahim? Hebu acha kujifanya mtoto mdogo”. Lydia aliongea.
“Hapana Lydia. Siwezi kuwa na wewe”. Nilimwambia Lydia.
“Kwa nini huwezi?”.
“Hapana, ni hatari sana. Bosi akigundua nitakuwa katika mazingira magumu sana”. Nilimwambia Lydia.
“Anhaaaaa! Kwa hiyo wewe wajifanya mjanja ati! Sasa kwa taarifa yako ninafahamu kila kitu kinachoendelea kati yako na Catherine”. Lydia aliongea maneno ambayo yalinimaliza nguvu kabisa.
“Sasa kaa ukijua kwamba mimi naweza kukuchomea halafu ukaonekana takataka kabisa mbele ya bosi. Na yule mzee atakutwanga risasi wewe”. Lydia alinitisha.
“Sasa Lydia kwa nini wataka kunifanyia hivyo?”. Ilinibidi niwe mpole.
“Kwani kuna tatizo gani wewe ukinipa penzi mimi?. Au sikuvutii Ibrahim”.
“Hapana Lydia”. Nilimjibu.
“Basi ndo fanya hivyo hivyo unipe mambo kabla wenyewe hawajarudi”. Lydia aliongea huku akiyabinua makalio yake.
Nikaona isiwe shida. Ni bora tu nimpe Lydia kile ambacho alikuwa akikihitaji ili aendelee kunitunzia siri yangu ya kuibanjua amri ya sita na Catherine mtoto wa bosi.
Nikamsogelea na kumkumbatia na kuanza kuzichezea chuchu zake. Lydia alinipokea kwa kunipa kinywa chake nami nikampa change na kunyonyana ndimi zetu. Lydia akaanza kulegea taratibu huku akitoa miguno ya kuashiria raha.
“Ooooosh! Aaaaaaash! Ibraaaaaa!”. Lydia aliitoa miguno ya namna hiyo pale nilipokuwa nikiendelea kuzisugua chuchu zake kwa ufundi wa hali ya juu.
Nikamlaza Lydia juu ya kitanda na kumpapua ile khanga yake na kumwacha jinsi alivyozaliwa. Woooooooow! Alikuwa na urembo wa umbile usio kifani.
Bila ya kupoteza muda nami nikazichojoa nguo zangu huku mjomba akiwa amesimama tisti kweli kweli’
“Ghooooooooooooosh!”. Lydia aliachama mdomo wake mara baada ya kumwona jinsi mjomba alivyokuwa mkubwa.
Moyoni nikasema ni lazima leo nimwonyeshe shughuli ili akome kabisa kunifuata.
Lydia alianza kumchezea mjomba kwa kumsukasuka kwa mikono yake laini kisha akammbugia na kumtafuna mithili ya koni. Na kwa wakati wote huu alikuwa akigumia kwa raha nami sikuacha kumchezea nywele zake na chuchu zake.
“Ibraaaaaaaaa!…. Niiipeeee!”. Lydia alianza kulalamika akitaka kupewa dozi yake ya ugonjwa wa huba. Nami bila kusita nikampa dozi yake. Nilimyoosha hasa naye akanyoosheka. Nilimpa vitu ambavyo naamini hajawahi kuvipata.
“Ahsante Ibrahim, hakika umenikosha”. Lydia aliongea mara baada ya kupewa dozi moja murua iliyomwacha hoi kabisa.
‘Usijali Lydia. Nakuomba itunze siri hii”. Nilimuhusia Lydia.
“Ondoa hofu. Hii ni siri yetu mimi na wewe”.
Baadaye Lydia aliondoka na kuniacha mimi pekee mle chumbani. Niliwaza ni nini hiki ambacho kilikuwa kikinitokea katika jumba hili. Nilianza na Catherine kama utani na hatimaye leo Lydia naye kawa kwenye mkondo.
*********
Tukutane katika sehemu ya 05 ya kisa hiki cha kusisimua
 
SEHEMU YA TANO
Simulizi: JUMBA LA LAANA (05)
Mtunzi: Kalmas Konzo
Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA
“Ondoa hofu. Hii ni siri yetu mimi na wewe”.
Baadaye Lydia aliondoka na kuniacha mimi pekee mle chumbani. Niliwaza ni nini hiki ambacho kilikuwa kikinitokea katika jumba hili. Nilianza na Catherine kama utani na hatimaye leo Lydia naye kawa kwenye mkondo.
SASA ENDELEA
Maisha yakaendelea kama kawaida katika jumba lile la kifahari. Na kwa wakati wote ule nikawa nahusiana kimapenzi na wasichana wote wale wawili huku nikiwa nachukua tahadhari kubwa kwamba wasije kufumaniana.
Nilikuwa najua fika kwambakama wangefumaniana, basi ingelikuwa ni hatari kubwa sana ambayo ningelishindwa kuitatua.
Nikawa nakutana na kila mmoja kwa siri na kumpa dozi yake. Kila msichana alifurahia kufanya mapenzi nami. Na hawakusita kuniangushia sifa kedekede kwamba niliwaridhisha mpaka ukomo. Ama kweli nilikuwa kidume cha shoka katika jumba hili.
*************
Leo hii mama mwenye nyumba alikuwa amekaa nje bustanini akipunga upepo huku mikononi mwake akiwa na computer mpakato yaani laptop kama ambavyo imezoeleka kuitwa. Na kwa wakati huo nami nilikuwa katika bustani ile nikiwa nimetingwa nikiyatifulia maua na kung’oa magugu ambayo yalikuwa hayatakiwi.
Mwilini nilikuwa nimevaa singlend pamoja na suruali nyepesi aina ya track ili iwe rahisi kwangu kuyahudumia mazingira. Mavazi haya yalinifanya nionekane nadhifu kabisa.
“Catherine!”. Aliita yule mama.
“Abeeeeeee!”. Aliitika Catherine toka sebuleni.
Baada ya muda mfupi Catherine alikuwa amewasili pale ambapo alikuwa amekaa mama yake. Na kwa muda wote huo mimi nilijifanya niko busy na kazi zangu.
“Nenda mjini pamoja na Lydia mkafanye shopping ya vyakula maana naona vimepungua humu ndani”.
“Sawa mama”. Catherine aliongea.
“Tumia hiyo Rav 4 na kumbuka kuwa makini barabarani”. Mama Catherine alimwonya mwanae.
“Usijali mama”.
Mama Catherine alinyanyiuka pale alipokuwa amekaa na kuingia ndani akifuatiwa na Catherine. Mimi nikaendelea na shughuli zangu.
Baba mwenye nyumba mzee Chitenge hakuwepo nyumbani kwa siku ya pili sasa. Alikuwa amekwenda Afrika ya Kusini kwa shughuli zake za kibiashara.
Baada ya nusu saa Lydia alitoka akifuatiwa na Catherine. Lydia alienda moja kwa moja mpaka iliko gari aina ya Rav 4 huku Catherine akija kule bustanini ambako nilikuwepo.
“Ibrahim mpenzi, mimi natoka kidogo. Naenda mjini nimetumwa na mama”. Aliongea Catherine mara baada ya kunifikia.
“Usijali mpenzi wangu. Safiri salama”. Nilimjibu huku nikimtazama machoni.
Catherine alinisogelea na kunibusu kwa huba. Mwili wangu ulisisimka na kunifanya pumzi zangu ziende kasi kidogo.
Catherine aliondoka na kuelekea kule kwenye gari. Aliliwasha na kisha yeye na Lydia wakaondoka mara baada ya kufunguliwa geti na mlinzi.
Mimi nikaendelea kupiga mzigo pale bustanini kwa nguvu zote, Nilifurahi sana kuwa katika mapenzi na Catherine lakini pia niliogopa kuwa katika mapenzi na Lydia. Niliiona dhahiri hatari ambayo ilikuwa ikinukia mbele yangu.
“Ibrahiiiiiiiiim!”. Ilikuwa ni sauti ya mama Catherine ambaye alikuwa akiita kutoka ndani sebuleni.
“Naaaaaam!”. Niliitika na kuacha kila nilichokuwa nikikifanya kwa wakati ule na kuanza kuelekea ndani sebuleni kuitikia wito wa mama yule.
Nilipoingia pale sebuleni, macho yangu yalishikwa na kigugumizi cha kutazama. Nilishindwa kuamini kabisa kile ambacho nilikuwa nikikiona.
Macho yangu yalimshuhudia mama Catherine akiwa amesimama juu ya zulia la thamani pale sebuleni huku mwili wake akiwa ameusitiri kwa khanga moja tu.
Khanga hii ililichora dhahiri umbile lake la nambari nane huku akiwa na nyonga ambazo zilifuatiwa na milima miwili nyuma yake matata sana ambayo ilifanya mtetemo pindi alipokuwa akitembea.
“Ama kweli mzee Chitenge anafaidi sana”. Nilijisemea moyoni huku nikimtazama mama Catherine kwa matamanio.
“Naomba unisaidie shughuli moja huku ndani”. Mama Catherine aliongea huku akiondoka kuelekea chumbani kwake akiashiria nimfuate.
Mimi kama mwanakondoo aliyekuwa akienda kusulubiwa nilimfuata yule mama. Sikuelewa ni shughuli gani ambayo alitaka nimsaidie. Na kwa muda wote huu ambao nilikuwa nikimfuata kwa nyuma alikuwa akiniachia maumivu ya huba kutokana na mirindimo ya makalio yake.
Mama Catherine alikifikia chumba chake cha kulala na kukifungua. Mimi nilisita kuingia kwani haikuwa heshima hata kidogo kwa kinyangarika kama mimi kuingia katika chumba cha kulala cha mama huyu.
“Ingia tu Ibrahim wala usihofu”. Mama Catherine alinitoa hofu na kunifanya niingie mle ndani.
*************
Kilikuwa ni chumba kinadhifu sana na chenye thamani ya hali ya juu. Kilikuwa ni cumba ambacho kilipambwa kikapambika. Uchafu haukuwa na nafasi hata punje mle ndani. Samani ambazo zilikuwa zimekisheheni chumba kile zilikuwa ni za hali ya juu sana.
Sikuwa nimewahi pata siku moja kuingia katika chumba cha thamani na nadhifu kama kile katika maisha yangu.
Nilipoingia tu, nilishangaa kumwona mama Catherine akiufunga mlango kwa ufunguo na kisha ufunguo akaenda kuuweka katika meza yake ya vipodozi.
“Kazi ambayo ninaomba unisaidie ni kuibadili hiyo taa kwani nahisi imeungua”. Mama Catherine aliongea.
Sikumjali. Nilichofanya ni kuanza kufanya shughuli ile ya kuibadili taa. Nilifanya hivyo kwani hiyo ndiyo shughuli ambayo ilikuwa imenileta mle chumbani kwa wakati ule. Nilitaka nifanye haraka sana ili niondoke katika mazingira haya kwani yalikuwa hatarishi sana.
Bila kutaraji mama Catherine aliitoa ile khanga ambayo ilikuwa ikiusitiri mwili wake na kubaki kama alivyokuwa ametoka tumboni mwa mama yake nikiwa nina maana kama alivyozaliwa. Akaanza kujipaka mafuta katika meza ile ya vipodozi.
Mimi habari ile ya kubadilisha taa iliishia palepale. Nilianza kumtazama yule mama kwa matamanio huku mjomba akiwa amesimama wima huku akitoa risasi ndogondogo. Mate yalinidondoka kwa kuushuhudia utamu ule ambao ulikuwa mbele yangu.
“Vipi Ibrahim, mbona kazi haiendelei?”. Mama Catherine aliuliza mara baada ya kuona nimesimama huku nikiwa nimeduwaa.
Naona swali hili alikuwa ameliuliza makusudi kabisa utadhani alikuwa hafamu ni nini ambacho kilikuwa kimesababisha nisimame kuifanya kazi ile.
Wakati wote huo mkono wangu wa kulia nilikuwa nimemkamata mjomba na kumdhibiti ipasavyo ili asije akaleta madhara.
“Oooohooo! Dah! Pole wataka nikuonjeshe kidogo?”. Mama Catherine aliongea huku akinitazama.
Mimi sikumjibu chochote zaidi ya kumtolea macho tu. Mama Catherine akaja taratibu kwa mwendo wa maringo na kunikumbatia kisha akanipa busu moja mwanana sikioni ambalo lilinisisimua sana.
Bila kupoteza muda nami nilimkumbatia na kuanza kuusukasuka mwili wake kwa ufundi wa hali ya juu.
Nilimlaza juu ya kitanda na kisha nikazichojoa nguo zangu huku mama Catherine akimshuhudia mjomba akiwa amesimama wima. Alikuwa ni mkubwa balaa.
“Wooooooow! That’s wonderful”. Mama Catherine alishangaa kwa kimombo huku akimshika mjomba na kuanza kumchuachua.
Nami nikaendelea kumpapasa mwili wake kwa huba. Nilimchezea sehemu zote mpaka katika ikulu yake. Kwa wakati wote huo mama Catherine alikuwa akilia kilio cha huba.
“Nipe Ibraaaaahim ….. niiiiipe!”. Mama Catherine aliomba dozi yake.
Nami bila hiyana nikaanza kumpa dozi yake. Nilimsulubu huyu mama mpaka akawa analia kama mtoto.
“Please Ibrahim! Inatoooooshaaaaa!”. Alilia huyu mama akiomba mchezo usimame.
Mimi sikujali kilio pamoja na maombi yake. Nilichokifanya ni kuendelea kumpa dozi ya maana ambayo nina uhakika hajawahi ipata katika maisha yake.
Mpaka tunaumaliza ule mchezo, mama Catherine alikuwa hoi. Mwili wake ulikuwa umeloa jasho jingi sana. Hakika leo aliucheza muziki wa uhakika.
“Ibrahim, nakupenda sana. Hakika leo umenifariji na kunipa raha ambayo sijawahi kuipata katika maisha yangu”. Mama Catherine alishukuru.
“Usijali mpenzi nami umenipa mambo matamu sana”. Nilimjibu huyu mama kwa kumsifu.
“Hakika nitayafanya maisha yako kuwa mazuri sana kama utaendelea kuwa nami na kunipatia vitu adimu kama hivi”. Mama Catherine aliongea.
“Usijali. Utayapata mambo matamu zaidi ya haya”.
Baada ya kuridhika na mechi yetu ya kirafiki, tuliingia pamoja bafuni kuoga. Huko tuliogeshana kwa mahaba tele mithili ya mume na mke.
Huko bafuni nako nilimpa mama Catherine dozi kadhaa ambazo nazo zilimtia wazimu wa huba. Huyu mama hakika alichanganyikiwa na penzi langu.
Baada ya kuoga, niliagana na yule mama na kuelekea katika chumba change nikihofia kufumaniwa na Catherine endapo angerudi ghafla kutoka mjini.
Hivi ndivyo penzi langu na mama Catherine lilivyoanza. Lilianza taratibu mithili ya manyunyu ya mvua na hatimaye likashamiri kama mvua kubwa ya masika.
**************
Tukutane katika sehemu ya 06 ya kisa hiki cha kusisimua
 
SEHEMU YA SITA
Simulizi: JUMBA LA LAANA (06)
Mtunzi: Kalmas Konzo
Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA
Baada ya kuoga, niliagana na yule mama na kuelekea katika chumba change nikihofia kufumaniwa na Catherine endapo angerudi ghafla kutoka mjini.
Hivi ndivyo penzi langu na mama Catherine lilivyoanza. Lilianza taratibu mithili ya manyunyu ya mvua na hatimaye likashamiri kama mvua kubwa ya masika.
SASA ENDELEA

Sasa ndani ya jumba hili nikawa mithili ya mfalme Suleiman. Nilikuwa kidume kwelikweli kwani sasa niliweza kufanya mapenzi na wanawake watatu kwa nyakati tofautitofauti nikichukua tahadhari ya kutowagonganisha.
Hakika nilikuwa nachezea moto huku mimi mwenyewe nikiwa ninaona na nina akili timamu kabisa. Nadhani utamu wa huba kwa hawa warembo ndio ambao ulinipofua kabisa na kushindwa kupima hatari ambayo ilikuwa mbele yangu.
Hivi kama mzee Chitenge akiufahamu ambao nilikuwa naufanya wa kula kuku na mayai yake si atanichinja kabisa. Pili vipi kama mama Caherine naye akigundua kwamba nilikuwa nikibinjuka na mwanae. Na vipi endapo mama Catherine na Catherine mwenyewe wakigundua kwamba nilikuwa nikisosomola na Lydia binti wa kazi. Na pia kama Lydia akigundua kuwa nilikuwa nikijivinjari na mama Catherine pia.
Sikufahamu Ni nini ambacho kilikuwa ndani ya nafsi yangu kama ni pepo au ni tabia tu ya uzinzi. Nilikuwa kama nimerogwa vile niwe mkware. Nilifurahi sana kufanya mapenzi na hawa wanawake.
*********
“Ibrahim, mimi nakupenda sana mpenzi wangu na pia nina wivu sana. Nitakasirika sana endapo nitasikia kwamba una mwanamke mwingine zaidi yangu”. Yalikuwa ni maneno ya Catherine usiku huu wa leo.
Catherine alikuwa ameniingiza chumbani kwake kwa siri bila ya mtu yeyote kufahamu. Tulikuwa tumefurahi sana kwa kupeana mahaba motomoto ambayo yalimwacha Catherine hoi. Sasa tulikuwa tumejilaza kitandani tukiwa hoi jasho likitutiririka licha ya pangaboi lililokuwa likipepea mle ndani.
“Usijali Catherine mpenzi wangu, wewe ndiye mpenzi wangu wa pekee ambaye ninakupenda kwa penzi la dhati. Bila wewe mimi nisingekuwa leo hii hapa. Una umuhimu mkubwa katika maisha yangu”. Nilimwambia Caterine maneno matamu ingawa moyo wangu ulikuwa ukinisuta sana.
“Lakini ninyi wanaume ndio zenu hizo. Yaani hata mpendwe vipi huwa hampendeki. Leo wanipa ahadi tamu na kedekede, halafu kesho wewe mwenyewe wanisaliti”. Catherine aliongea manenoa ambayo yalizidi kunichoma moyo wangu.
“Hiyo labda ni kwa wanaume wengine lakini si kwangu mimi ambaye ninatambua nini thamani ya pendo”. Nilizidi kumwua Catherine kwa maneno matamu ya huba.
“Nashukuru sana kama ni hivyo”. Catherine aliongea huku akinikumbatia.
“Tulale sasa kwani usiku umekuwa mwingi sasa”. Aliongea Catherine baada ya kunibusu.
“Na kweli mpenzi wangu kwani kesho yanibidi nijihimu asubuhi na mapema kabla mama hajaamka”. Nilimjibu Catherine huku nikimkumbatia zaidi.
***********
“Catheriiiiine!”. Ilikuwa ni sauti iliyotufanya sote tukurupuke kutoka usingizini.
Nilitazama katika chumba cha Catherine na kugundua kwamba ilikuwa ni asubuhi kwani mwanga ulikuwa ukipenya vizuri kabisa katika madirisha makubwa ya chumba kile na kusababisha nuru mle ndani.
“Catheriiiiiiiine!”. Mama Catherine aliendelea kuita huku sasa akiwa ameufikiwa mlango wa kile chumba na kuanza kuugonga.
“Abeeeeeeee! Mama!”. Catherine aliongea huku akihangaika kunificha ndani ya kabati la nguo.
“Habu fungu amlango”. Mama Catherine aliongea.
“Nakuja mama”. Catherine aliongea mara baada ya kuhakikisha kanificha vyema ndani ya kabati la nguo.
Hatimaye Catherine aliufungua mlango na kumruhusu mama yake kuingia ndani. Yule mama aliangazaangaza macho yake mle ndani mithili ya nokoa ambaye alikuwa akifanya ukaguzi wa mazao kondeni.
“Hivi huyu Ibrahim yuko wapi? Maana nimemtafuta kila mahali lakini sijamwona”. Mama Catherine alimwuliza Catherine huku akiendelea kuangazaangaza macho mle ndani.
Moyo wangu ulipiga paaaaaaaaaa! Mle ndani ya kabati. Nikaamini ule usemi wa mababu usemao siku za mwizi ni arobaini. Nilijua ni lazima nitaumbuka kwa kufumaniwa.
“Huku nje hayupo?”. Catherine alimuhoji mama yake.
“Nimemtafuta kila sehemu katika jumba hili lakini sijamwona”.
“Huenda yuko busy na shughuli zake”. Catherine aliendelea kumweleza mama yake.
“Mh!”. Mama Catherine aliguna.
Mimi mle ndani ya kabati nikashikwa na tumbo la uharo. Yaani uharo nilioshikwa nao nahisi si wan chi hii maana ilikuwa ni balaa ile miungurumo. Ilikuwa ni miungurumo iliyokuwa inakuja dabodabo mithili ya radi.
Mama Catherine hakuendelea kuzungumza na Catherine na badala yake aliamua kutoka nje ya chumba kile. Kitendo kile kilinipa nafasi ya kutoka ndani ya lile kabati huku nikiwa hoi kwa hofu na fadhaa.
“Catherine ngoja mimi niende maana hili lishakuwa balaa”. Nilimwambia Catherine huku nikitetemeka sana.
“Tuliza hofu mpenzi wangu. Ngoja kwanza nikamwangalie mama yuko pande zipi”. Catherine aliongea huku akitoka kwenda kumwangalia mama yake.
Baada ya muda Catherine alirejea mle ndani.
“Mama yuko chumbani kwake”. Catherine aliongea.
“Ngoja basi mimi niende mpenzi”. Nilimwambia Catherine huku nikimwachia busu moja matata sana.
Catherine alinitazama kwa huba pindi nikitoka katika chumba chake. Nilifanya harakaharaka kupita pale sebuleni na kutoka nje.
********
Jua lilikuwa limeanza kuangaza sasa na kuyafanya mazingira yapendeze kwa nuru yake. Sauti za ndege waliokuwa wakiifurahia asubuhi zilisikika kila eneo. Niliamua kwenda kule katika bustani ya maua ili nikazuge na kazi mbili tatu.
“Ibrahim mpenzi wangu hivi ni kwa nini umeamua kunitesa kiasi hiki?”. Ilikuwa ni sauti ya mama Catherine ndiyo ambayo ilinizindua kutoka katika dimbwi la mawazo ambamo niilikuwa nimetopea.
Niliacha kazi ambayo nilikuwa nikiifanya na kuinuka. Nikamtazama mama Catherine kisha nikaachia bonge la tabasamu.
“Yaani mimi naongea halafu wewe unanicheka, ina maana unanidharau?”. Mama Catherine aliongea kwa jazba.
“Si kwamba nakudharau mpenzi, sijakuelewa kwa nini wasema nakutesa?”. Niliamua kumtuliza kwa maneno yangu ya kuzuga.
“Ulikuwa wapi maana nimekutafuta nyumba nzima lakini sijakuona”. Mama Catherine aliongea.
“Ha ha ha ha ha haaaaa! Kumbe ndilo hilo ambalo lilikuwa linakuweka roho juu mpenzi wangu”. Nilimwuliza.
“Sasa kumbe wewe ulidhani nini? Hivi kwa nini wapenda kunipandisha presha wewe mwanaume jamani au kukupenda ni kosa?”. Mama Catherine aliongea huku akionekana wazi kwamba alikuwa na jazba.
“Leo asubuhi nilikuwa nimeamka alfajiri na nikawa nimeenda katika mazoezi ya kukimbia ili kupasha joto viungo vyangu. Hivi nimerejea muda si mrefu”. Niliamua kuongopa.
“Hayo mazoezi umeanza lini wewe? Sijawahi kukuona hata siku moja ukifanya mazoezi”.
“Huwa nafanyia chumbani lakini leo niliamua nitoke nje nikimbiekimbie”.
“Sawa bwana lakini siku nyingine uwe unanitaarifu mpenzi”. Mama Catherine aliongea huku sasa akiwa amenikumbatia.
“Usijali mpenzi wangu. Nakupenda sana”. Nilimjibu.
“Nami nakupenda pia”. Mama Catherine aliongea.
Mama Catherine hakuwa na hofu ya kunikumbatia kwa sababu eneo lile la bustani lilikuwa lina maua ambayo yalituficha na kutufanya tusionekane na watu waliokuwa mle ndani.
Nilimpiga busu mama Catherine na kumfanya azidi kunikumbatia. Nilianza kuzisugua chuchu za matiti yake taratibu huku nikiyasukasuka hali iliyomfanya aanze kupumua kwa kasi.
Mkono wangu mmoja nikamshika kiuno chake na kumlaza vizuri juu ya nyasi laini za pale bustanini. Yeye pia alikuwa akimchezea mjomba ambaye alikuwa amechachamaa vilivyo.
Na kwa kuwa mama Catherine alikuwa hajavaa nguo ya ndani asubuhi ili basi ilikuwa ni rahisi kabisa kwa mojmba kumpa dozi yake.
Nilimpa dozi ya harakaharaka pale juu ya majani mpaka nilipohakikisha kwamba alikuwa ameridhika.
“Ahsante sana Ibrahim mpenzi wangu. Nakupenda sana”. Mama Catherine aliongea mara baada ya kumaliza kumpa dozi.
Usijali nami nakupenda sana mpenzi wangu”. Nilimjibu mama Catherine.
“Basi ngoja mimi nikaoge mpenzi”. Niliamua kuachana na huyu mama.
“Ok, mpenzi wangu. Hata mama ngoja nikaoge maana leo umeniweza kweli. Umenipa mambo adimu ambayo yameniacha hoi”. Mama Catherine aliongea.
Mimi niliondoka na kuelekea chumbani kwangu huku nikichekacheka. Moyoni nilikuwa ninafuraha kwa sababu nilikuwa nimefanikiwa kuutatua msala ambao ulikuwa ukinikabili kiulaini.
**********
Tukutane katika sehemu ya 7 ya kisa hiki cha kusisimua
 
SEHEMU YA MWISHO
Simulizi: JUMBA LA LAANA (07)
Mtunzi: Kalmas Konzo
Simu: 0744 970447

ILIPOISHIA
“Ok, mpenzi wangu. Hata mama ngoja nikaoge maana leo umeniweza kweli. Umenipa mambo adimu ambayo yameniacha hoi”. Mama Catherine aliongea.
Mimi niliondoka na kuelekea chumbani kwangu huku nikichekacheka. Moyoni nilikuwa ninafuraha kwa sababu nilikuwa nimefanikiwa kuutatua msala ambao ulikuwa ukinikabili kiulaini.
SASA ENDELEA
Sebule yote ilikuwa kimya kabisa. Hakuna hata mmoja miongoni mwetu ambaye alithubutu kufungua mdomo na kuongea chochote. Hali ilikuwa si njema hata kidogo.
Katika watu ambao tulikuwa mle sebuleni alikuwemo Catherine pamoja na mama yake, msichana wa kazi pamoja na mzee Chitenge.
“Nimewaita nyote hapa katika kikao hiki cha dharula ili tuweze kujadiliana hili jambo la fadhaa ambalo limeikumba familia hii”. Mzee Chitenge aliongea kwa tuo na kisha akaendelea.
“Ninaomba kila mmoja anieleza ni nani muhusika wa ujauzito ambao anaubeba?”. Mzee Chitenge aliongea.
Wanawake wote waliokuwa mle ndani walikuwa ni wajawazito na matumbo yao yalionekana dhahiri. Mimi nilikuwa nina hofu kubwa sana kwani nilijua mimi ndiye msababishaji wa haya majanga. Kwa wakati ule nilitamani nikimbie kabisa kutoka katika jumba lile ili niepukane kabisa na huu msala.
“Haya Catherine mwanangu, hebu nieleze, ni nani aliyekupa mimba hii?”. Mzee Chitenge aliungiuruma.
“Ni Ibrahim”. Catherine alijibu kwa kifupi.
“Unasemajeeeee?”. Mama Catherine aliongea.
“Whaaaaaat!”. Mzee Chitenge aling’aka.
“Haya na wewe mama Catherine huo ujauzito ni wa nani maana wafahamu fika kwamba mimi na wewe hatujahusiana kwa muda mrefu sasa”. Mzee Chitenge alimwuliza mkewe.
Badala ya kujibu mama Catherine alinitazama na kisha machozi yakaanza kumporomoka kwa uchungu sana.
“Ibrahim hivi ni kwa nini umeamua kutufanyia hivi? Aibu hii mimi nitaiweka wapi? Yaani umeamua kutupa mimba mimi na mwanangu kweli?”. Mama alilia kwa huzuni na uchungu.
“Whaaaaaat! Yaani wewe kikaragosi ndo umeamua kunioneshea kwamba wewe ni kidume kwa kumpa mimba mke wangu na binti yangu!”. Mzee Chitenge alifoka kwa jazba.
Catherine kwa wakati wote huo alikuwa akiporomokwa na machozi ya uchungu sana.
“Haya na wewe Lydia hebu toa maelezo yako!”. Mzee Chitenge alifoka huku akimtazama Lydia.
“Nitoe maelezo gani wakati wafahamu fika kwamba ni wewe ndiye uliyenipa mimba hii!”. Lydia aliongea huku akilia kwa uchungu.
“Whaaaaaaaaat!” Mama Catherine aliongea kwa mshangao.
“Unasemaje Lydia?”. Catherine aliuliza.
Mzee Chitenge bila ya kuongea chochote alisimama na kuelekea chumbani kwake. Mimi nikaona huo ndio ulikuwa wasaa wangu wa dhabu wa kufanya maamuzi ya busara.
Bila ya kufikiri mara ya pili nilikurupuka na kutoka nje ya sebule ile huku nikiiacha hali pale sebuleni ikiwa tete kabisa. Nilitoka mpaka nje ya lile JUMBA LA LAANA na kutokomea mbali kabisa.
****** MWISHO *******
 
Stor tamu na nzuri lkn

1.usipende kurudia rudia maneno mfano ni...iiipe imetumika kwa wote wanawake

2.kujisifia na kulenga zaidi kuhusu ustad wa mapenzi

3.pia ongeza ubunifu

Ahsante
 
Back
Top Bottom