Jana ilikuwa siku ngumu kwangu,mpenzi wangu baada ya kuishi nae kwa muda wa miaka 3, Jana alinitamkia tuachane anadai mi niko busy sana kiasi sina muda na yeye ukweli tumefanya mambo mengi pamoja tuna nyumba na kiwanja kimoja ila yeye anadai eti tubaki kuwa marafiki na tusiache kuwasiliana! ananitega au?