Pole mkuu ushauri wangu usigombane na ndugu kwa sababu ya binti utakuja kujuta.
Mpaka hapo mimi nakuona wewe ndio mbinafsi tena ni hatari sana,
Yani umemuacha kisha dogo anajipigia ndefundefu we roho inakutoka?
Tena ukimrudisha dogo tz kisa huyo demu na mungu atakutandika adhabu ya milele mkuu, wewe kuwa mpole kubali kuwa shemeji tu na mpe moyo dogo afanikishe malengo yake kama wewe ulishindwa!
nakubaliana na wewe. kama kweli hawa wawili wamependana basi wasingepoteza muda wa kumponda huyu bwana mkubwa ktk mazungumzo yao. wote huwa tunabadilisha mahusiano , lakini ktk mauhsuiano mapya tunapeana upendo kwa kuwaponda waliopita? wanaomwita huyu mkubwa mbinafsi wamwite , ni maoni yao. ila mimi ninamkosoa tu kwa kusema amtudishe dogo, kumrudisha si sawa, bali ampe muda dogo atafute makazi yake. lakini hili la huyu mwanamke anania mbaya na hawa ndugu ninaweza kulikubali kwa kiasi fulani.acheni kumlaumu jamani.huyo msichana ni hana heshima.afunuliwe na kaka,halafu afunuliwe na mdogo mtu.kuchati 8 za usiku some times ni sexy chat tu.either ananajaribu kumkomoa kaka mtu mtu kwa ku m use huyo mdogo mtu,au u never know maybe kuna mapenzi.maybe hizo tabia za huyo dada,kwa kuwa mdogo mtu ameshapenda,anazikubali.na wewe kwa kuwa umeshamuonya,muachie,yakimshinda na yeye ataachia ngazi
NGOSWE Penzi "Kitovu Cha Uzembe" aftrol tupo kwenye mwezi mtukufu...tupa kule tafta mwingineHabari zenu wadau wa MMU
Kwa mara ya kwanza naingia jukwaa hili kuomba ushauri juu ya kile kilinikuta;
Mnamo mwaka mmoja na kitu umepita nilikuwa home tz kwa bahati mbaya au nzuri nikagongana na mrembo flani mitaa ya hapo kati'kwa kweli nilivutiwa nae sana na kwa sababu nilikuwa katika mchakato wakutafuta jiko nikaona si vibaya nikifungua nae ukurasa mpya wa mapenzi,kwa kweli kwa muda mfupi tulizoeana kwa sababu likizo yangu haikuwa ndefu nikaondoka, lakini nilishamueleza dukuduku langu lote kama nahitaji mke.
Basi kadri siku zinakwenda tuliendelea na mapenzi yetu, Huyu bint hakuwa natabia ya umalaya laa,ila alikuwa Selfish'anapenda afanyiwe kila kitu kizuri yeye. Basi mwaka huu mwezi april nilikuja tena likizo tz ya miezi 2 na kitu,basi kadri nilivyokaa nae huyu ndio nikagundua kuwa kweli Selfish,mbinafsi sana hakupenda mimi nikae na ndugu yeyote kama ingetokea nikamuowa,yeye alitaka tuishi wawili tu,kwakweli hilo lilinishinda ikabidi nimwambie ukweli kuwa sitaweza kuishi nae,nikaamua kuvunja ule uhusiano wote kila mmoja akashika njia yake.
Sasa hapa swala limejitokeza kama wiki 2 zimepita mimi huku ng'ambo naishi na mtoto wa baba yangu mdogo anafanya kazi,na yule my X anamfahamu hata kipindi niko nae walikuwa wakiwasiliana kwa kuchat,Sasa hapa kuna swala moja limetokea huyu mdogo wangu na huyo my X wanachat sana sana'mpaka saa 8 usiku,yule bint anamtumia mdogo wangu mapicha kibao,hapa nashindwa kufaham nini kinaendelea,ila mdogo wangu nimeshampa warning juu ya huyo bint kwa sababu she was my gf anajua,lakini nahisi hanielewi.
Khofu yangu nahisi kutokea mgogoro mkubwa kati yangu na mdogo wangu,kwa sababu mimi ndio nilimleta hapa na kazi nikampa nafikiria nimrudishe tu home tz ili wakutane vizuri huko,hebu niishie hapa naombeni ushauri wenu,maana nina mengi yakuandika naona ntawachosha kusoma.
Paka hiyo sio bahati'kwa sisi wafrica huo si utamaduni wetu kuchukua mwanamke m1 family nzima,na faham kuwa huyu alikuwa ni mchumba wangu'
Na huyu ni mdogo wangu,
Umrudishe Mdogo wako kisa X wako?
Kwanza sababu ya kumuacha haikuwa na nguvu sana, wewe ulitaka mkioana muishi na ukoo?
Pia yaonekana bado unampenda huyo X, kama hayuko moyoni muache hata akiwa na mdogo wako ni dhamira zao si zako. Umesusa waachie wengine wale!
Ama kweli WAHENGA WALISEMA: Mwalimu wa wanawake ni Kipofu......ndo haya sasa unayoyaongea yamethibitisha: Naomba unijibu swalihili Kaunga Please:- " INA MAANA KUWA WEWE MUME WAKO AKIKUPIGA CHINI/ AU BOYFRIEND WAKO AKIKUMWAGA .....MAZIMA.....UPO TAYARI.....KUMDOWNLODIA HIYO PANTS/kufuli shemeji yako wakiume na ale mzigo kama kawa kisa eti wewe umeachwa na bro wake??? Tell us ili tujue jinsi wanawake mlivyochanganyikiwa na mapenzi ili wote tuone mpo sawa tu!