kazi unayo...
huyo ana foleni ya akina
Excel anaowachunguza!
yawezekana wewe uko mwishoni kabisa! so faili lako huwa analipitia wakati wa kulala akiwa na usingizi mzito!!
by the way, kuchunguzana ni pamoja na mawasiliano... sasa kama unachunguzwa kihivyo... ni zamu yako kuchunguza!