Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,930
- 100,201
You're still a little kid. Hivyo tu ndiyo uugue moyo? Ajabu hii!Mimi ni baba wa mtoto mmoja wa kiume na naishi pamoja na mwanangu na mke wangu pande za huku kanda ya ziwa.
Hapa ninapoishi kuna jirani yangu ambae ni rafiki yangu sana tu nae anaishi na mke wake lakini wao bado hawajabahatika kupata mtoto.
Mke wa wa huyu rafiki yangu amezoeana na mke wangu kiasi kwamba huwa wanatembeleana na kupiga story mbili tatu.
Kuna siku nimetoka mihangaikoni mke wangu akanihadithia kwamba mke wa jirani yangu alikuja nyumbani kumtembelea mke wangu na alikaa takribani masaa mawili wakawa wanaongea na kupiga story mbili tatu.
Wakati wanapiga story mke wangu akawa anamtania akamwambia kwamba "wewe ukija kuzaa mtoto wako hatakua mrefu kama wewe mama yake na badala yake atafuata mbegu ya baba yake hivyo mwanao anaweza akaja kuwa mfupi"
Baada ya wife kumwambia hivyo nae mke wa jirani yangu akamwambia kwamba "Kama ndo hivyo basi nitakuja kuchakachua kwa mume wako mana yeye mrefu"
Sasa embu nisaidieni wadau huyu mwanamke ana maana gani kusema hivi kwa mke wangu ?
Mana nimeona kama anataka kuniharibia ndoa yangu na kumfanya wife aone kama nina mahusiano nae kitu ambacho sio kweli mana namuheshimuna tunaheshimiana sana na mume wake.
Karibuni wadau muweze kutoa mchango wenu wa kimawazo
mkuu wewe inaonekana kukua kwa mwili na akili ni inversely proportional yaan kadri mwili unavyoongezeka akili inazidi kurudi utotoniSasa embu nisaidieni wadau huyu mwanamke ana maana gani kusema hivi kwa mke wangu ?
😂😂😂😂😂😂mkuu wewe inaonekana kukua kwa mwili na akili ni inversely proportional yaan kadri mwili unavyoongezeka akili inazidi kurudi utotoni
Mimi ni baba wa mtoto mmoja wa kiume na naishi pamoja na mwanangu na mke wangu pande za huku kanda ya ziwa.
Hapa ninapoishi kuna jirani yangu ambae ni rafiki yangu sana tu nae anaishi na mke wake lakini wao bado hawajabahatika kupata mtoto.
Mke wa wa huyu rafiki yangu amezoeana na mke wangu kiasi kwamba huwa wanatembeleana na kupiga story mbili tatu.
Kuna siku nimetoka mihangaikoni mke wangu akanihadithia kwamba mke wa jirani yangu alikuja nyumbani kumtembelea mke wangu na alikaa takribani masaa mawili wakawa wanaongea na kupiga story mbili tatu.
Wakati wanapiga story mke wangu akawa anamtania akamwambia kwamba "wewe ukija kuzaa mtoto wako hatakua mrefu kama wewe mama yake na badala yake atafuata mbegu ya baba yake hivyo mwanao anaweza akaja kuwa mfupi"
Baada ya wife kumwambia hivyo nae mke wa jirani yangu akamwambia kwamba "Kama ndo hivyo basi nitakuja kuchakachua kwa mume wako mana yeye mrefu"
Sasa embu nisaidieni wadau huyu mwanamke ana maana gani kusema hivi kwa mke wangu ?
Mana nimeona kama anataka kuniharibia ndoa yangu na kumfanya wife aone kama nina mahusiano nae kitu ambacho sio kweli mana namuheshimuna tunaheshimiana sana na mume wake.
Karibuni wadau muweze kutoa mchango wenu wa kimawazo
Hahahaha mkuu mbona siku hizi hata watoto wanaoa na wanazaa watoto!Utani wa wanawake unakutoa jasho? Eti wewe naye umeoa na una mke na mtoto.
Uwe unatazama ubongokids TBC 1 ili kujijenga kiakili.
Mimi ni baba wa mtoto mmoja wa kiume na naishi pamoja na mwanangu na mke wangu pande za huku kanda ya ziwa.
Hapa ninapoishi kuna jirani yangu ambae ni rafiki yangu sana tu nae anaishi na mke wake lakini wao bado hawajabahatika kupata mtoto.
Mke wa wa huyu rafiki yangu amezoeana na mke wangu kiasi kwamba huwa wanatembeleana na kupiga story mbili tatu.
Kuna siku nimetoka mihangaikoni mke wangu akanihadithia kwamba mke wa jirani yangu alikuja nyumbani kumtembelea mke wangu na alikaa takribani masaa mawili wakawa wanaongea na kupiga story mbili tatu.
Wakati wanapiga story mke wangu akawa anamtania akamwambia kwamba "wewe ukija kuzaa mtoto wako hatakua mrefu kama wewe mama yake na badala yake atafuata mbegu ya baba yake hivyo mwanao anaweza akaja kuwa mfupi"
Baada ya wife kumwambia hivyo nae mke wa jirani yangu akamwambia kwamba "Kama ndo hivyo basi nitakuja kuchakachua kwa mume wako mana yeye mrefu"
Sasa embu nisaidieni wadau huyu mwanamke ana maana gani kusema hivi kwa mke wangu ?
Mana nimeona kama anataka kuniharibia ndoa yangu na kumfanya wife aone kama nina mahusiano nae kitu ambacho sio kweli mana namuheshimuna tunaheshimiana sana na mume wake.
Karibuni wadau muweze kutoa mchango wenu wa kimawazo
Wote wewe na mkeo, utoto unawasumbua tu! Mambo mengine ni trivial hata hayafai kufikiria kuyaleta hapa JF. Threads za kitoto zimetamalaki sana mwaka huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu wewe inaonekana kukua kwa mwili na akili ni inversely proportional yaan kadri mwili unavyoongezeka akili inazidi kurudi utotoni
Unajiingiza kwenye masikhara ya akina mama???Mimi ni baba wa mtoto mmoja wa kiume na naishi pamoja na mwanangu na mke wangu pande za huku kanda ya ziwa.
Hapa ninapoishi kuna jirani yangu ambae ni rafiki yangu sana tu nae anaishi na mke wake lakini wao bado hawajabahatika kupata mtoto.
Mke wa wa huyu rafiki yangu amezoeana na mke wangu kiasi kwamba huwa wanatembeleana na kupiga story mbili tatu.
Kuna siku nimetoka mihangaikoni mke wangu akanihadithia kwamba mke wa jirani yangu alikuja nyumbani kumtembelea mke wangu na alikaa takribani masaa mawili wakawa wanaongea na kupiga story mbili tatu.
Wakati wanapiga story mke wangu akawa anamtania akamwambia kwamba "wewe ukija kuzaa mtoto wako hatakua mrefu kama wewe mama yake na badala yake atafuata mbegu ya baba yake hivyo mwanao anaweza akaja kuwa mfupi"
Baada ya wife kumwambia hivyo nae mke wa jirani yangu akamwambia kwamba "Kama ndo hivyo basi nitakuja kuchakachua kwa mume wako mana yeye mrefu"
Sasa embu nisaidieni wadau huyu mwanamke ana maana gani kusema hivi kwa mke wangu ?
Mana nimeona kama anataka kuniharibia ndoa yangu na kumfanya wife aone kama nina mahusiano nae kitu ambacho sio kweli mana namuheshimuna tunaheshimiana sana na mume wake.
Karibuni wadau muweze kutoa mchango wenu wa kimawazo
Utoto tatizo.Mimi inanikera sana hii tabia siku hzi ujinga ujinga tu