Simuelewi kabisa Profesa Lipumba

Le propesa utaanzanje kumwelewa? Nimesikia leo anamsihi maalimu kufuta kesi waingie round table discussion. Yeye anafikiri rahisi
 
Huyu ndio mwenyekiti halali kwa mujibu wa msajili wa vyama, yeye ndie anakula ruzuku kwa sasa!! sasa unataka nini?

Kikubwa ilikuwa akina Mtatiro kujifanya wajinga, wajifanye wako upande wake kisha wakiwa wanaishi nae ndio waangalie namna ya kumtoa
 
Ni heshima kwa Mungu kumzomea fisadi Lowasa -------Lema

Over my dead body sitampokea fisadi Lowasa chadema ------Mbowe.


Baadae
Mabadilikoo Lowasa,
Lowasa mabadiliko ------Mbowe
????
Maisha kweli mzunguko. Bunduki aliyotumia kuwafyatulia wengine baadae mfyatuaji anajigeuzia mwenyewe.
Ni heshima kwa Mungu kumzomea fisadi Lowasa -------Lema

Over my dead body sitampokea fisadi Lowasa chadema ------Mbowe.


Baadae
Mabadilikoo Lowasa,
Lowasa mabadiliko ------Mbowe
????
Maisha kweli mzunguko. Bunduki aliyotumia kuwafyatulia wengine baadae mfyatuaji anajigeuzia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom