four eyes
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 904
- 1,399
Nimeoa na nampenda mke wangu sana tu, pale kwao kwa baba na mama kuna wapangaji wao kadhaa wa vyumba vya uwani.
Mmoja kati ya wapangaji hao ni rafiki wa mke wangu na kila tukienda hapo kusalimia wakwe huwa namkuta nae akiwa anaendelea na shughuli zake binafsi zaidi ya salam mimi sinaga story nae.
Siku za hivi karibuni amezua katabia ka kunisifia sana kwa mke wangu akidai umbo kangu la mazoezi linamchanganya sana(nina kawaida ya kupenda mazoezi hasa push ups za kila siku)
Mwanzo alipomwambia huku namsikia nikiwa nje ya nyumba wao wakiwa sebuleni nilidhani masihara yao tu ya kawaida lakini juzi nilienda kwa wakwe kufata vitu flani akaniona, cha ajabu akamtumia SMS mke wangu kwamba kaniona na anadata kweli na umbo langu.
Nashindwa kumuelewa kwanini anamueleza mke wangu hivi vitu na kwa nia gani, na kweli akiniona kuna jicho flani ananikazia, nachoshindwa kuelewa ni je kama kweli ananitamani kwanini amwambie mke wangu? Na kama ni utani kwanini auendeleze na kwanini kweli akiniona ananiangalia sana?
Huwa najaribu kumjibu mke wangu kuwa huo ni utani tu hamaanishi kitu lakini yeye huwa ananiambia anamfahamu vizuri tabia zake na kwamba yuko serious hapo.
Huyo dada ni mke wa mtu pia, je nimbutue au nipotezee? Kimuonekana mashallah ana guu la bia na tako la kutosha tena lainii japi sura sio kivile, nikimtathmini kimuonekano anafaa sana tu kwa matumizi.
Ushauri wadau please huyu ana nia gani? Na kwanini anamwambia mke wangu? Je nibutue japo Mara moja halafu basi au nikaushe?
Mmoja kati ya wapangaji hao ni rafiki wa mke wangu na kila tukienda hapo kusalimia wakwe huwa namkuta nae akiwa anaendelea na shughuli zake binafsi zaidi ya salam mimi sinaga story nae.
Siku za hivi karibuni amezua katabia ka kunisifia sana kwa mke wangu akidai umbo kangu la mazoezi linamchanganya sana(nina kawaida ya kupenda mazoezi hasa push ups za kila siku)
Mwanzo alipomwambia huku namsikia nikiwa nje ya nyumba wao wakiwa sebuleni nilidhani masihara yao tu ya kawaida lakini juzi nilienda kwa wakwe kufata vitu flani akaniona, cha ajabu akamtumia SMS mke wangu kwamba kaniona na anadata kweli na umbo langu.
Nashindwa kumuelewa kwanini anamueleza mke wangu hivi vitu na kwa nia gani, na kweli akiniona kuna jicho flani ananikazia, nachoshindwa kuelewa ni je kama kweli ananitamani kwanini amwambie mke wangu? Na kama ni utani kwanini auendeleze na kwanini kweli akiniona ananiangalia sana?
Huwa najaribu kumjibu mke wangu kuwa huo ni utani tu hamaanishi kitu lakini yeye huwa ananiambia anamfahamu vizuri tabia zake na kwamba yuko serious hapo.
Huyo dada ni mke wa mtu pia, je nimbutue au nipotezee? Kimuonekana mashallah ana guu la bia na tako la kutosha tena lainii japi sura sio kivile, nikimtathmini kimuonekano anafaa sana tu kwa matumizi.
Ushauri wadau please huyu ana nia gani? Na kwanini anamwambia mke wangu? Je nibutue japo Mara moja halafu basi au nikaushe?