Simuelewi huyu demu

Atoke mjini akaolewe chaka nafikiri huo ni uongo wa dhahiri na huyo mchumba gani anamuoa wakati hawana mawasiliano yanayoeleweka au anatumia njia ya posta?
We rudi tena uongo ukiisha atakukubali tu.
 
Lakini siku hizi hutumii nguvu kubwa Mkuu, labda hakutaki kweli. Vumilia tu uone mwisho lakini huyo hakutaki pamoja na kumpa simu.
 

Yaani uko vizuri sana, ulivoona communication barrier ukaona bora utoe simu yako.Hahaha kabla ya kutoa simu yako ilibidi uwe umeshajiridhisha anyway sijui utafanyeje kuchukua simu yako ama ndiyo imekwenda na maji tena hiyo.Yaani kumuona tu unatoa simu hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…