hussein boxer
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 832
- 335
Anakupima huyo angekuwa na mchumba si angempa simu wawasiliane?
kuna binti anaishi na dada yake pia anamsaidia dada yake kuuza msosi kwenye mgahawa wao. Sikuwa na tabia ya kula gengeni ila nikaanza kula gengeni baada ya kumpenda huyu binti aliyekuwa akimsaidia dada yake kazi. Nikamuomba namba ya simu hakuwa na simu ikabidi nimpatie simu moja maana nilikuwa na simu mbili. Tulianza kuwasiliana nikamtongoza akasema yeye bado ni mdogo hawezi kuolewa kwa sasa niache kumsumbua. Leo nimempigia kumkumbusha ombi langu anadai anaye mchumba huko kijijini kwao na mahari imeshatolewa anaenda kuolewa. Swali ni kwamba je,atakuwa ananipima na kunikatisha tamaa au nikomae nae?
kuna binti anaishi na dada yake pia anamsaidia dada yake kuuza msosi kwenye mgahawa wao. Sikuwa na tabia ya kula gengeni ila nikaanza kula gengeni baada ya kumpenda huyu binti aliyekuwa akimsaidia dada yake kazi. Nikamuomba namba ya simu hakuwa na simu ikabidi nimpatie simu moja maana nilikuwa na simu mbili. Tulianza kuwasiliana nikamtongoza akasema yeye bado ni mdogo hawezi kuolewa kwa sasa niache kumsumbua. Leo nimempigia kumkumbusha ombi langu anadai anaye mchumba huko kijijini kwao na mahari imeshatolewa anaenda kuolewa. Swali ni kwamba je,atakuwa ananipima na kunikatisha tamaa au nikomae nae?
Kakuona player...
Mimi sio player nahitaji kuoa kabisa mkuu
fata simu yako fasta, huli mzigo hapo...
Kekundu bob
wewe mwambie kesho kutwa na wewe unapeleka barua kwao
Kanunua simu kampa demu walivyoachana kampokonya