Simu za Nokia 3310 kurejea

comrade igwe

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
7,295
Reaction score
3,952


Kuna taarifa kwamba huenda simu muundo wa Nokia 3310 zikazinduliwa upya na kuanza kuuzwa tena baadaye mwezi huu.

Kampuni ya HMD Global Oy ya Finland, ambayo ina haki za kuunda bidhaa za nembo ya Nokia ndiyo inayodaiwa kuwa na mipango hiyo.

Simu hizo inaarifiwa zitazinduliwa wakati wa Kongamano la Simu za Rununu Duniani baadaye mwezi huu.

Simu asilia za Nokia 3310 zilipata umaarufu kutokana na uthabiti wake na kutodukulika kirahisi
 

there were exceptionally good .... awaiting for re- launch!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…