Walikataza sababu ya ngono? sijaelewa uhusiano kati ya statement in the tittle na uamuzi huo.
umenena vema mkuu)))))) nakuunga mikono na miguu 100%Toka ziingie takwimu zinaonyesha wanafunzi wengi wamedungwa mimba kwa sababu ya simu imelahisisha mawasiliano mpaka ya kujipatia takrima kama chipsi na soda hata rais aliliongelea hili mwaka uliopita.
umenena vema mkuu)))))) nakuunga mikono na miguu 100%
na watu wengi wanapenda sana kutoka na madent underground mana ni so cheap kuwapata ukimnunulia tu simu au kama anayo ukiwa unamuwekea credit basi huyo ni wako tayari
Natoa pongezi kwa serikali kwa kupiga marufuku simu za mkononi mashuleni.Simu hizi zimekuwa kama njia ya kupatia wapenzi badala ya kupata mambo ya maana.
hii ni uvunjaji wa haki za binadamu, nawashauri wanafunzi hao kama waende kwenye taasisi zinazoshughulikia maswala ya haki za binadamu!
1. ni haki yao kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki zao.
2. ni haki yao kuwa na wapenzi kwa sababu nao ni binadamu wanahitaji kupendwa na kupenda kama wengine.
the only thing ambacho walipaswa kukifanya ni kuwaelesha matumizi sahihi ya izo simu hususani wawapo shule na negative effects zake zisipotumiwa isivyo!
na watu wengi wanapenda sana kutoka na madent underground mana ni so cheap kuwapata ukimnunulia tu simu au kama anayo ukiwa unamuwekea credit basi huyo ni wako tayari
hapo utakuwa unanionea mkuu, izo biashara niliishaachaga cku nyingi sana siku izi nafanya mambo kikubwa
sioni sababu ya kumtongoza mwanafunzi ambaye hata kuoga kwenyewe shida bado hajui na ndio maana anaitwa mwanajifunza which means bado anajifunza wakati kuna wanawake wenye akili zao, ambao tayari walishajitmbua na wanajui maana ya uanauke wao. hapa mimi nasimamia haki za binadamu kama mwanaharakati!
mara mia uombwe vocha za simu na videnti kuliko mimwanamke mimtu mizima. mi inaniudhi sana
mara mia uombwe vocha za simu na videnti kuliko mimwanamke mimtu mizima. mi inaniudhi sana
na watu wengi wanapenda sana kutoka na madent underground mana ni so cheap kuwapata ukimnunulia tu simu au kama anayo ukiwa unamuwekea credit basi huyo ni wako tayari